Miss Tanzania 2013 'Happiness Watimanywa" ndani ya London: First stop BBC Swahili, Sporah Show

Hii avator yako na unakokimbilia naona kama vle mko njia moja. Kama kila mwenye jina linaloshabihiana na mkoa wa kagera anapelekwa kwenye unyamulenge, itafikia sehemu na mkoa wenyewe utatuhumiwa kua ulikua sehemu ya rwanda.

Kuna ukweli lkn ingawa ni wa mbali
 
Hanaa mambo ya kishagingi,ametulia hata ongea yake ni ametulia

Its true ametulia na si shangingi but si mrembo kama warembo wengine waliopita waliotulia. Hajui hata kwenda na trends sasa lile ni shati gani kavaa jana pale BBC na ule urembo wa shingoni ndo ulomsaidia kidogo
 
Its true ametulia na si shangingi but si mrembo kama warembo wengine waliopita waliotulia. Hajui hata kwenda na trends sasa lile ni shati gani kavaa jana pale BBC na ule urembo wa shingoni ndo ulomsaidia kidogo

Kwani kulikua na maonyesho mule BBC mi naona sawaa,lakini angekua lulu au wema angejipodoa,angevaa gauni refu hiloo,angevaa viatu virefuu ili aonekaneeee showoff huyu bint katulia kwa kweliii
 
Am praying and hoping afike mbali.
Ananikumbusha happiness magesse kwa mbali kwa muonekano na kichwa cha faraja
 
Wabongo bana kwa mbwembwe siwawezi... mnapenda sana kuwakubali watu wanaokaa ki-local au kichokachoka.. ila wanaojilipua na kutokelezea mnawananga tu... hii tuiite nini? Akili na roho za kimasikini.
 
We nae ulikua wapi mbona izo zilipendwa ,leo anawasili kwao Atown ,tena anaskendo zake kibao,naskia ana uraia wa rwanda lol
huyo kapewa u miss tanzania kwenye maaandishi, hajapewa hata zawadi moja ticket ya ndege yenyewe kalipiwa na kampuni ya arusha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…