Kwan ile ishu ya ubanyamulenge ilikuwa ni kick tu au niaje
Hii avator yako na unakokimbilia naona kama vle mko njia moja. Kama kila mwenye jina linaloshabihiana na mkoa wa kagera anapelekwa kwenye unyamulenge, itafikia sehemu na mkoa wenyewe utatuhumiwa kua ulikua sehemu ya rwanda.