Miss Tanzania 2014 kufungwa miaka 3

sitti rudisha taji na urudi zako marekani.....

Ajabu ni kwamba hata huyo Baba mzazi (tumuache Mama mtu na Anko Lundenga) ambaye ni kiongozi anayetarajiwa kuionya, kuadhibu na kuonyesha mfano eti yupo mahali amekaa, AMEcross fingers akiamini mambo yatakuwa shwari shughuli iendelee kama kawa....SHAME ON HIM.
 

http://theinnovationhouse.blogspot.com/2014/10/tetesi-siti-mtevu-kuvua-taji-la-miss.html?m=1
 
Nimewasikia Radio 5 wakiongea na Naibu waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo Nd. Juma Nkamia ambaye amesema wao wamewaachia BASATA sakata zima.:flame:Sidhani kama Sitti anaweza kuzuia hizi tuhuma. Na watu wamembatiza wanamuita AJUZA.

Anaitwa Bibi Bomba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…