Miss Tanzania 2014 live Star TV

Abbas Zubeir Mtemvu Mbunge wa Temeke na Hashim Lundenga ni washikija sanaaaa
Mjomba Lundenga kaamua kumpa umiss mtoto wa swaiba wake
Na huyu mzee Lundenga alivyo kiwembe, mzee Mtemvu atatoka kwenye rafiki kwenda kwenye mkwe
 

Mbona hata Wema alishinda kwa sababu aliongea kiingereza fluently...yani ile kujibu swali ndo kulimbeba...
Nargis alishindwa kwa sababu alijibu kiswahili..( Chezea mutoto ya kizaramo) yani alovyoambiwa chagua lugha alivyochagua kiswahili ukumbi ukaguna...ukajua ndo basi tenaaaaa....

Watanzani sijui tumerogwa, yani tunajali sana lugha za Wenzetu....

Ngoja na mie niongee kireno labda Docta atanielewa..."Amore, Te amo de realidade "
 
Yani karibu kila mtu anaona yule watatu ndio alistahili kuwa miss tanzania.... Sasa jamaa hata hawakujistukia kama ile ilikuwa inaonekana kabisa mshindi ni nani! Hasa baada ya kujibu maswali... Dah kweli mpango mipango
 
.
Nimefatilia comment za watu nimengudua watanzania wengi sana wana wivu!!!!
 
Tupia elimu yake kabla ya kumjadili


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
sometimes because...the theeee....
that is why....why...why..offcourse..
 
huyu mshindi alishajulikana zamaani ni mtoto wa bunge wa temeke
 
Hivi faida ya haya mashindano ni zipi zaidi ya kuwadhalilisha watoto wa kike.
 
mtoto wa mbungeeee
 

Attachments

  • 1413082526138.jpg
    42.7 KB · Views: 488
kumbe mshindi alishajulikanaa zamanii
 

Attachments

  • 1413082731461.jpg
    65.4 KB · Views: 334
Mbona ndo zao uyo miss IG yake ambasadorsittimtemvu na mwenzake pendojones walikuwa marekani
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…