Nimefata hiyo link naona wote ni mashombe. Kuna Mtanzania asilia hapo? kwa hiyo sioni ajabu ikiwa wanaongea Kiingereza zaidi.
n
Na ndo kashinda sasa....kifaransa kimewachengua majaji!!!
Kiukweli ingewezekana hata mi ningekusaidia kuandamana, maana dah yule kapewa tu wala hajashinda!
Siti abasi mtemvu miss temeke awa miss Tanzania ila Kwa maoni yangu wamechakachua haina uhalali kabisa yaani wameachwa watu wenye uwezo kabisa.
Mamiss wa Tanzania ni watoto wa mabaloz na wabunge. Kapewa tu hana mvuto. Mimi kwangu miss 2014 ni kale namba 3
Tarajieni hata ma miss kuona majina ya watoto wa vigogo hata kama sura yake iko kama ugoko
Siti abasi mtemvu miss temeke awa miss Tanzania ila Kwa maoni yangu wamechakachua haina uhalali kabisa yaani wameachwa watu wenye uwezo kabisa.
Hahahaha mim nasubir apambanishwe na kina priyanka chopra,yukta mukhey na ma miss venezyela,Brazil ,Costa Rica ,Barbados ,mexico na Peru
mmmh kama huyu aiseee
nimeona picha zake insta ana mapaja manene