Miss Tanzania 2018: Miss Kinondoni, Queen Elizabeth aibuka mshindi

Wengi wanaokataa u-miss wake ni wafupi wafupi tu. Bobu huyu ni twiga tena twiga haswaa.





 
Ungeweka ka pic basi , wengine hatumjui kwa maelezo yako
 
Msikilize hapa akijibu swali

Watanzania tuna tabu sana. Shindano ni miss Tanzania, washiriki ni watanzania, watazamaji kwa asilimia zaidi ya 95 ni watanzania. Kwanini tuanze kuulizana, "ungependa kujibu swali kwa kiswahili au kiingereza?" Na mshiriki anachagua kiingereza, bila haya. Na watu wanashangilia akijibu maswali kwa kiingereza.

Kutawaliwa kubaya sana. Tunajihesabu tuko huru lakini kiuhalisia bado tunatawaliwa. Upuuzi huu huwezi kuuona katika nchi/jamii za watu wanaojitambua.
 
Ni mbinu ya kupunguza ukosoaji
 
Tunaamini mtu anayejua ni yule aongeae kiingereza
 
Wekeni na picha ya kale ka Toyota cami tuone zawadi nono ya miss Tz. Hivi kale ka gari kanazidi 4m kweli?
 
Mashindano Ya Umisa Tanzania Bado sanaa inabidi Tukae Miaka 5 tujipange tuje na Mikakati Sahihi ya Hili shindano! Na Zawadi ziwe na Viwango gani Ziwe tayari hata kabla ya shindano!

BY THE WAY ZAWADI SIO LAZIMA IWE GARI KUNA ZAWADI NYINGI SANA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…