mnyalukolokwetu
Senior Member
- Jan 10, 2016
- 156
- 40
Hahahaaaaa stress out JfLile liwig lake rangi haieleweki ugoro sio ugoro sijui alichukua wig ambayo dada yake alifanyia ubatizo au ilikuaje
Lazima kudole kipite ndio uwe missKwani mnamaanisha nini?
Lundenga kivipi?
Nyie si mlijifanya kumfungia shindano lake ili kumkomoa. Sasa na yeye baada ya kufunguliwa kaamua kuwakomesha kwa kuwaletea huyo anaedaiwa kuwa kituko.Lundenga alichotifanyia mwaka huu hakikua kizuri na akaona atudharirishe zaidi kwa kumvisha satini ya bluu na viatu vya njano, kweli mwaka uishe tu hata kama ni natural beauty sio hiyo .
You are the one who is stupid, racist and narrow minded. It's not about the colour of her skin at all, she just looks dehydrated and malnourished if you can see beyond your racist remarks. What's with the inferiority complex anyways? Take a chill pill!Kwa sababu yeye ni mweusi na wao ni weupe?
Stupid minded!
Soory[emoji16]. She just looks dehydrated bro, this particular picture didn't do her justice.Spinderella Spinderella, ujue Mungu anakuona.......Ooooh.
Miss wa 2016 si ni kale kasichana cha kimasai au ameshabadilishwa
Mmmh...bora wangenipa mimi huo umiss hako kadada atatuangusha[emoji31]Ndio hako hapo ila leo hakana wigi. ..
ndio yeye mkuuAcheni utani jamani.., huyo ni miss Tanzania???!!!!
Wivu utakuua mwanamke siajabu wewe ni mubovu kulikoni doh ulivomshambulia mwenzako una chuki dhahiri, huna tofauti na kina miss popular, maria, sarungi na mwingine, ndo waliongiza Jana kumshambulia Diana. Kwanini msimtie moyo tu jamani chah,Huyo naona kaenda kuwa dekia wenzie ni mbaya wa sura walah ni mbayaaa
Hebu mfananisheni tu na miss Rwanda kabla hamjatoka povu , yaani miss wetu mbaya halafu hata nguo akivaa hazimpendezi......li wigi lake analovaa sasa yereuwiiiiii kama tambala la deki.....kwa wataalam wa picha hebu tuwekeeni picha za mamiss wengine wa africa ndo mtaamini huyu wetu kituko..
Yule aliyeenda miss universe atafanya vizuri sio kwaajili ya weupe wake bali pia anavutia
Hata kama ni weusiiiiii wakina Odemba walikuwa weusi wanavutia , lakini huyu hapanaaaa