mzaramo
JF-Expert Member
- Sep 4, 2006
- 6,371
- 5,186
Ila msema kweli mpenzi wa mungu....Huyu dada aamshi kabisa yaani hata kidogo kama swala rangi eti mweusi ni uongo kuna mademu kibao mitaani huku weusi na wanavutia fresh
Ila huyu hapana aiseee huyu aamshi kabisa mara ya kwanza kumuona linidhani simu yangu ina matatizo ya rangi aiseee nikaja kumuona tena kwenye tv mama yangu aamshi hata robo na nyie kina dada muwe na makini na hizo diet zenu eboooooo
Ila huyu hapana aiseee huyu aamshi kabisa mara ya kwanza kumuona linidhani simu yangu ina matatizo ya rangi aiseee nikaja kumuona tena kwenye tv mama yangu aamshi hata robo na nyie kina dada muwe na makini na hizo diet zenu eboooooo