Kusema ukweli shida ni kubwa sana kusimama mbele ya watu inahitaji ujasiri na hapa ndipo manasiasa ambapo huwa yanawa win watu tu, yatapiga kulele wee even though unajua hamna mabadiliko unaamka nyumbani kwako na unaenda kulichagua mojawapo i likes politicsHafu anasoma Chuo kikuu cha Mzumbe
kwa sasa wasingeweza tetemeko ndo tatizoBora ingepelekwa Bukoba najua wahaya wenzangu wangeionyesha dunia nn sisi ni kina nani.
Huyu mfupi mimi pia nimemuona mkuuNamwona miss Ilala mbona mzee HVO hafu mfupi
Huyu miss wasasa anashindwa kutamka Serengeti hadi rock cityHuyu mfupi mimi pia nimemuona mkuu
Tuwaachie majaji ndo wana majibu kamili
It need confidence pia pressure ya watu kusimama mbele za watu sikazi ndogo hata kwa wanasiasaKusema ukweli shida ni kubwa sana kusimama mbele ya watu inahitaji ujasiri na hapa ndipo manasiasa ambapo huwa yanawa win watu tu, yatapiga kulele wee even though unajua hamna mabadiliko unaamka nyumbani kwako na unaenda kulichagua mojawapo i likes politics
Wamempa shangwe sana sababu ni mtu wa mwanza huko huko.Huyu miss wasasa anashindwa kutamka Serengeti hadi rock city
Yani lugha ilimpitia pembeni ila kwa vigezo ana deserve wengine watarnda kututia aibu miss worldNitwa lugha ya malkia ka miye hapa
cd imemkatiaNamwona miss Ilala mbona mzee HVO hafu mfupi
Hahaaa ma miss Ilala hawana vigezo ila wametoboza vigezo vya majaji kibokocd imemkatia
Ila hafai kuwa miss Tanzania mubovu labda kwa vile ni nyumbani kivigezo hamna kituWamempa shangwe sana sababu ni mtu wa mwanza huko huko.