Miss Tanzania: Diana Edward Lukumai ameshinda taji la Miss Tanzania 2016

bora ashinde yule kuliko wa mwanza kila kitu mwanza jamani huu mwaka tutakoma
raisi mwanza
miss tz mwanza
makonda nae huko huko Mungu atuepushe kwa kweli
Bhado mapunga tu kutoka mwanza maana kila kitu mwanza
 
Naibu waziri kawataja wakina nani? naona kawapongeza haswaaaaaaa waliopita ma miss.

Wema katajwa? nilikuwa nasoma humu sijasikia jina.

Kamtaja Wema kujiamini kachomeka kwa Hoyce amtaje tu, il sifa kampa Hoyce na anachofanya.
Wema hakuna kitu cha kutaja.


Wema ajifunze leo daaaaaaahhhhh

Anasema wawe na nidhamu ma kujiamini
 
Reactions: MC7
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…