baraka muyabi
Senior Member
- Aug 13, 2012
- 162
- 58
naona gundi imebanduka kwenye baadhi ya viti hasa baada bella kupanda stejini...Kweli Mwanza bado wapo katika majaribio......
hahaha.sio.kwa kala hio wallahSauda Leo kachekesha watu Instagram na mavazi yake ka ndege anayetaka kupaa huko mabegani, huyo mshonaji Mungu anamuona
Ni watu tu wenye uelewa mfupi kitu miss Tanzania analeta ukabila pia inferiority complex ni janga la Watanzania wengi kwa kweli. Mtu ajajiwe kwa matendo yake na wala sio ukabila, wala diniNawachukia sana watu ambao vichwani wamejaza kabila,dini ooooh ukanda nachukia sana.
Huyu mama anapoelekea ataomba kura khaaaaa
hahahahahah.noma sanaHuyu mama anapoelekea ataomba kura khaaaaa
aaaaanh uwiiiiii...ukipata nafasi tumia mama...amesahau kusema mh..anko nanihii hoyeee maana hawakawii hawaHuyu mama anapoelekea ataomba kura khaaaaa
Hhaahahaha ametokelezeasauda mwilima nae wa mwanza
mpotezeee bhanaNi watu tu wenye uelewa mfupi kitu miss Tanzania analeta ukabila pia inferiority complex ni janga la Watanzania wengi kwa kweli. Mtu ajajiwe kwa matendo yake na wala sio ukabila, wala dini
Wivu ni ugonjwa mbaya sana na hauna tiba.
Sawa dearmpotezeee bhana
Diva leo una nin mbn umewaandama sn?Sauda Leo kachekesha watu Instagram na mavazi yake ka ndege anayetaka kupaa huko mabegani, huyo mshonaji Mungu anamuona
Yani hayo mabega kanichekesha sana leohuyu fundi jamani au hakulipwa?
nadhani ana mimba amevimba sanaLilian kamazima mama kija nn ilo tumbo puu
Hata sijaandama MTU nothing personalDiva leo una nin mbn umewaandama sn?
Sasa hii M10 yakuweka plate number si wangeongezea hata miss atembeleee Rav 4 yake kali.