Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
Mwenyewe alinichaganya huyo mtamkajiNimekuwa kama sikuwaelewa kwa namba
Walivyosimama leo
1- miss tz
2-
3-
4- huyu najua hakupata
5-
Walioshinda ni wapi 1st runner-up na 2nd?
Nitashukuru, nilikuwa nasubiria atajwe mshindi teh teh teee
Habari ya asubuhiYaani eeeeeh
JF oyeeeee
sijui tukimpa wiki moja tu akae hapo mjini atuletee mbuzi hao sijui ataweza, Na sijui tunajikweza nini haya mashindano ya majiji sijui huwa yana faida gani sababu kila sehemu na kadhia zake ukiwa hujawahi kufika Dar unaweza fikiri ni mbingu fulani hivi inasifiwa, Wiki mbili zilizopita Pale ambapo kuna jengo la mkuki mimi nimekutana na mbuzi na bahati nzuri nilikuwa kwa mguu walikuwa kama mbuzi 7 wanaswagwa kuelekea kamata hata mimi nilishangaa sana, ilikuwa ni mara yangu ya kwanza kuona mbuzi katika maeneo yale lakini later on nilijiona ni mpuuzi hii sio america hii ni Tanzanua mahali ambapo katika ya mji unakutana na bango limeandikwa usikojoe hapa, mjini pamejaa mabango ya waganga na madalali. Jiji ambalo watu wanaharibu miundombinu kwa makusudi kwa kweli Tanzania miji ni ya kujivunia kuliko majiji Nenda Moshi,Bukoba hukuti matangazo ya usikojoe hapa wala hukuti maenep machafu katika public Areas. huku kero kibao tu afu watu ndo tunajifanyaaaa tuko jijini?Mkuu mbn unachokoza watu humu?
Hahahhaahha Knondoni wanamsubr kwa hamu. [emoji2][emoji38]Dunia imechange mno aiseeView attachment 426373View attachment 426374
*Aliesimama wa 4..yule wa mwanza aliepewa shangwe nyingi ameshika nafasi ya 2.
*Yule wa 3 kuulizwa swali amekuwa wa 3 hivyohivyo.
Ww mfukunyuku sn yaani ushavisit page yke?[emoji38][emoji38]Huyu nimeenda Instagram kwa page yake ka deserve akiendelea na project yake anaweza kufika mbali kumbe sio wa sport sport
Mkuu umewapa chance wewe na nani? Kamati ya miss Tanzania inaundwa na wana Mwanza, Tena mshukuru sana wana Mwanza wamewabebea aibu, inapaswa na change muwarudishie watu wajaze ukumbi vile afu uwaletee msanii mmoja afu kiingilio 20,000/= 50,000/= na 100,000/=Tumewapa chance watuoneshe angalau utofauti kidogo wamefanya fyongo tu kuanzia mwanzo wa events mpaka mwisho..the most bored misstz ever
Habari ya asubuhi
Mbona anapungia mkono ka pangaboi?
NimeshafikaWw mfukunyuku sn yaani ushavisit page yke?[emoji38][emoji38]
Mbona anapungia mkono ka pangaboi?
Tena yule flora, sijui jembe ni jembe wamejitoa sana lundenga tangia aboronge watu ka walilisusa shindano na wadhamini. Nawapongeza Mwanza Ku host haya mashindano bila HVO aiseeMkuu umewapa chance wewe na nani? Kamati ya miss Tanzania inaundwa na wana Mwanza, Tena mshukuru sana wana Mwanza wamewabebea aibu, inapaswa na change muwarudishie watu wajaze ukumbi vile afu uwaletee msanii mmoja afu kiingilio 20,000/= 50,000/= na 100,000/=
Mi naona kumekucha aisee nimetoboza leoSalama, usingizi unaniandama saa tisa hii kwa furaha ya mshindi kushinda.
Dar na Mwanza na mbingu na Ardhi sasa mtu atleast utoe credit ili mwakani pia wai improve unaponda tu, Afu madebe tu hayaishi kutika tusio na uwezo tunaona mapungufu haoo hatariiii!!!!!!!!!!!!!! Wamebolonga ok kawekeze wewe sasa angalau tuone kwa vitendo inavyopaswa kuwa, holaaa hata udhamini wa chai ya viazi vitamu kwa warembo huna, Wenye nazo hawajashuhudia kwenye Tv kama wenzangu na miye kesho asubuhi mapema watakuwa washarudi ma kwao sisi bla blah kibaoooooTena yule flora, sijui jembe ni jembe wamejitoa sana lundenga tangia aboronge watu ka walilisusa shindano na wadhamini. Nawapongeza Mwanza Ku host haya mashindano bila HVO aisee
Mi naona kumekucha aisee nimetoboza leo