Miss Tanzania: Diana Edward Lukumai ameshinda taji la Miss Tanzania 2016

Mwanza hakuna maMC wenye akili? Huyu wamrudishe tu akatangaze jembe
 
Mbona wasanii wenyewe kama wameokotwa? Au mastaa wote wapo kwenye Immoooooo.
 
Teh hawa wasanii wamewaokoa wapi kama bongo star search bhana anko lundenga kakimbia gharama ya kuwalipa hata wakina barnaba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…