Zeddy Zeddy
Member
- Aug 19, 2011
- 27
- 7
yap...miss tz ni ya m2 binafsi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba tutoe ushauri kwa kamati ya MISS TANZANIA kuhusu kipengele muhimu cha ufahamu kwa jinsi ya kujibu maswali kuliko aibu tuliyoipata Jmosi usiku.
Fikiria mrembo anaulizwa utatumiaje Taji lako katika kupambana na tatizo sugu la madawa ya kulevya na HIV, anasema ( TENA KWA KISWAHILI) nitawaomba mwaswala hayo yaishe!! How?
Kakolaki ambaye alionekana angeibuka kidedea, kapata swali rahisi. Kaulizwa utafanyanye kukuza utalii Tz, akaanza kuzunguka kwa kutaja vivutio, ok jibu swali sasa, anasema nitashirikiana na tume ya utalii kutoa elimu kwa watanzania, basi. Ni swali ambalo angeenda mbali zaidi kwa kutoa plan ya elimu, kwa mbinu gani hasa kutumia taji la Miss VodacomTz, na je utalii wa njeitakuwaje, tena kwa kiswahili alichochagua angetiririka vya kutosha kuliko kutoa sentensi moja. Nilivyokuwa nimekasirika hata Miss wetu cjui aliulizwa nini na akajibu nini.
Mie ushauri wangu, ni kuwa warembo waandaliwe makongamano makubwa angalau mawili kabla ya fainali na yawe laiv na kila mmoja apewe topic ya kuwakilisha ( presentation) ili kuwajengea confidence ya public presentation. Ninaamini kamati ina wataalamu wa kufundisha public presentation.
Naomba tutoe ushauri kwa kamati ya MISS TANZANIA kuhusu kipengele muhimu cha ufahamu kwa jinsi ya kujibu maswali kuliko aibu tuliyoipata Jmosi usiku.
Fikiria mrembo anaulizwa utatumiaje Taji lako katika kupambana na tatizo sugu la madawa ya kulevya na HIV, anasema ( TENA KWA KISWAHILI) nitawaomba mwaswala hayo yaishe!! How?
Kakolaki ambaye alionekana angeibuka kidedea, kapata swali rahisi. Kaulizwa utafanyanye kukuza utalii Tz, akaanza kuzunguka kwa kutaja vivutio, ok jibu swali sasa, anasema nitashirikiana na tume ya utalii kutoa elimu kwa watanzania, basi. Ni swali ambalo angeenda mbali zaidi kwa kutoa plan ya elimu, kwa mbinu gani hasa kutumia taji la Miss VodacomTz, na je utalii wa njeitakuwaje, tena kwa kiswahili alichochagua angetiririka vya kutosha kuliko kutoa sentensi moja. Nilivyokuwa nimekasirika hata Miss wetu cjui aliulizwa nini na akajibu nini.
Mie ushauri wangu, ni kuwa warembo waandaliwe makongamano makubwa angalau mawili kabla ya fainali na yawe laiv na kila mmoja apewe topic ya kuwakilisha ( presentation) ili kuwajengea confidence ya public presentation. Ninaamini kamati ina wataalamu wa kufundisha public presentation.