Miss Tanzania na maswali ya papo kwa papo

Miss Tanzania na maswali ya papo kwa papo

Naomba tutoe ushauri kwa kamati ya MISS TANZANIA kuhusu kipengele muhimu cha ufahamu kwa jinsi ya kujibu maswali kuliko aibu tuliyoipata Jmosi usiku.
Fikiria mrembo anaulizwa utatumiaje Taji lako katika kupambana na tatizo sugu la madawa ya kulevya na HIV, anasema ( TENA KWA KISWAHILI) nitawaomba mwaswala hayo yaishe!! How?

Kakolaki ambaye alionekana angeibuka kidedea, kapata swali rahisi. Kaulizwa utafanyanye kukuza utalii Tz, akaanza kuzunguka kwa kutaja vivutio, ok jibu swali sasa, anasema nitashirikiana na tume ya utalii kutoa elimu kwa watanzania, basi. Ni swali ambalo angeenda mbali zaidi kwa kutoa plan ya elimu, kwa mbinu gani hasa kutumia taji la Miss VodacomTz, na je utalii wa njeitakuwaje, tena kwa kiswahili alichochagua angetiririka vya kutosha kuliko kutoa sentensi moja. Nilivyokuwa nimekasirika hata Miss wetu cjui aliulizwa nini na akajibu nini.

Mie ushauri wangu, ni kuwa warembo waandaliwe makongamano makubwa angalau mawili kabla ya fainali na yawe laiv na kila mmoja apewe topic ya kuwakilisha ( presentation) ili kuwajengea confidence ya public presentation. Ninaamini kamati ina wataalamu wa kufundisha public presentation.

Mkuu nadhani ulikuwa hujui kinachoendelea pale Miss Tanzania,today Im going to give you a little bit....Shindano hili halina mauhusiano yoyote na maendeleo ya taifa letu,utamaduni wetu,na maisha ya mtanzania ya kawaida...kanachofanyika ni kulazimisha shindano hili liwe na mtazamo kuwa lina uhusiano na tamaduni zetu za kawaida....therefore;Miss kushindwa kujieleza hatatumiaje taji hili kwa ajili ya maendeleo ya taifa si ajabu kwasababu hakuna huo uhusiano...haiitaji elimu ya chuo kikuu kugundua kuwa huu ni uozo unaofichwa chini ya mwamvuli wa maendeleo ya taifa....Tujiulize swali rahisi tu,Je,tangu tumeanza haya mashindano faida gani kubwa imepatikana? kama sio faida ya kuwauza dada zetu na kuwafaidisha wahuni wachache...Basically;there is no relationship between Miss Tanzania and any aspect of life,neither socially,economically,nor culturally.
 
"Mie ushauri wangu, ni kuwa warembo waandaliwe makongamano makubwa angalau mawili kabla ya fainali na yawe laiv na kila mmoja apewe topic ya kuwakilisha ( presentation) ili kuwajengea confidence ya public presentation. Ninaamini kamati ina wataalamu wa kufundisha public presentation. " haya makongamano kwanini yasifanyike kwa vijana wote wa shule na vyuo mbalimbali ili kuwajengea uwezo???
 
Hawa mabinti kwa uwezo gani wa kitaaluma walionao mpaka wawe na uwezo wa kujibu maswali kwa kiwango cha kuridhisha.Hawa wanakariri majibu mbaya akiulizwa swali ambalo sio la jibu alilokariri ndio utaona kichekesho...Hata wakiandaliwa midahalo bado uwezo wao wa kufikiri unahitajika kuangaliwa upya
Naomba tutoe ushauri kwa kamati ya MISS TANZANIA kuhusu kipengele muhimu cha ufahamu kwa jinsi ya kujibu maswali kuliko aibu tuliyoipata Jmosi usiku.
Fikiria mrembo anaulizwa utatumiaje Taji lako katika kupambana na tatizo sugu la madawa ya kulevya na HIV, anasema ( TENA KWA KISWAHILI) nitawaomba mwaswala hayo yaishe!! How?

Kakolaki ambaye alionekana angeibuka kidedea, kapata swali rahisi. Kaulizwa utafanyanye kukuza utalii Tz, akaanza kuzunguka kwa kutaja vivutio, ok jibu swali sasa, anasema nitashirikiana na tume ya utalii kutoa elimu kwa watanzania, basi. Ni swali ambalo angeenda mbali zaidi kwa kutoa plan ya elimu, kwa mbinu gani hasa kutumia taji la Miss VodacomTz, na je utalii wa njeitakuwaje, tena kwa kiswahili alichochagua angetiririka vya kutosha kuliko kutoa sentensi moja. Nilivyokuwa nimekasirika hata Miss wetu cjui aliulizwa nini na akajibu nini.

Mie ushauri wangu, ni kuwa warembo waandaliwe makongamano makubwa angalau mawili kabla ya fainali na yawe laiv na kila mmoja apewe topic ya kuwakilisha ( presentation) ili kuwajengea confidence ya public presentation. Ninaamini kamati ina wataalamu wa kufundisha public presentation.
 
Nilikua naomboleza msiba sikuangalia my be next year pia nina wasiwasi na ile meli ya ziwa Tanganyika kama haitazama
 
Back
Top Bottom