LoyalTzCitizen
JF-Expert Member
- Sep 15, 2010
- 2,241
- 940
I dont't really get it! Kwani huyu Miss ana ubaya au!!! mbona analipa! na anaonekana makini sana!! au ndio nyie wa JK wazee wakuuza sura na sio kichwa!?? huh!??
Lundenda tunajua mashindano yako hayana mvuto na yanatoa maMiss wasio na viwango ila kwa huyu Geneveive umechemsha kwa kweli...
nilimuuliza uncle baada ya shindano akasema HILO NI CHAGUO LA MUNGU UNCLE..MBAVU SINA NIKASIKIA KAMA MTU ANANTEKENYA
Huyu ndio Miss Tanzania 2010? mbona amechoka namna hii maziwa yake yamelala usingizi!!!!!!!!!! kasheshe kweli
Lundenda tunajua mashindano yako hayana mvuto na yanatoa maMiss wasio na viwango ila kwa huyu Geneveive umechemsha kwa kweli...
Lundenda tunajua mashindano yako hayana mvuto na yanatoa maMiss wasio na viwango ila kwa huyu Geneveive umechemsha kwa kweli...
mmmh.utafikiri haendi ******.kama malaika.Lakini warembo dizaini hawa,wanakuwa na nyodo,kwani wanajijua kama ni warembohaka kanaonekana karembo mpaka moyoni
Kuna ma-MISS wengine hata mimi najiuliza kulikoni wakapita? Au tatizo la wapiga picha wetu tu? To be honest wapo kadhaa waliokuwa vimeo....
1994: Aina Linda W. Maeda
1995: Mrembo Emily Adolf
1996: Shose Sinare
1997: Saida Kessy
1998: Mrembo Basila Mwanukuzi
1999: Mrembo Hoyce Temu
2000: mrembo Jacqueline Ntuyabaliwe
2001: Mrembo Happiness Magese
2002: Mrembo Angela Damas
2003: mrembo Sylivia Bahame
2004: mrembo Faraja Kotta
2005: Miss Tanzania Nancy Sumari
2006: WEMA SEPETU
2007: RICHA ADHIA
2008: NASREEN KARIM
2009: MIRIAM GERALD
SANTA LUCÍA
Hakuna ubaya wowote kufananisha watu ni kipaji tu, ni sanaa. Na mimi nakubaliana na hoja kuwa , Rose MUhando ni mrembo na Miss Mbeya anamranda sana. Ukiangalia haraka haraka pia Miss Mbeya amemranda sana mmoja wapo wa washiriki wa Ze commedy show wakiwa kwenye zile costumes zao za kike.Acha hiyo kwani Rose Mhando ana ubaya gani jamani? Yule ni mama anayejitegemea na familia yake akimtumikia Mungu. Hata hajawahi kujitokeza kugombania u-missi. U-miss wake ni kwenye nyimbo za injili na anaibuka kidedea. Hebu tumheshimu huyu mama Rose Mhando. Keep it up Rose wangu. Unaisuuza familia yangu kwa nyimbo zako, hata mwanangu yuko mbali tunamtumia DVD zako. Keep it up Rose, you are a super star, model, queen, miss in your area of competence, and in this case, Gospel.
mara 100 hata angechukua one of the runners-up kama mshindi wako juu sana kwa mtizamo wangu