Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Anajua kuremba sauti tu....Kama 'yupo njema kichwani' si agombee basi...
Kwa nini apewe?
Atangaze nia...anadi sera na maono yake mbele ya constituents...ashiriki midahalo n.k.
Na kama sera zake ziki resonate watu watampa kura zao.
Watu wenye akili huwa hawapewi vitu tu. Hutumia hizo akili zao kupata vitu.
Kwanza hiyo idea nzima ya ubunge wa viti maalum ni very condescending.
Wema apewe ubunge wa viti maalum.
Tukiachana na madhaifu yake ambayo yeye kama sisi binadamu wengine anayo...wema yuko njema kichwani.
Ile speech aliyoitoa siku ya kuhamia CDM niliipenda sana.
Ana kitu ndani yake,apewe nafasi.
Kwangu njaa inapaona ni kituo cha polisi haikai ikasogea. Imebaki kujifungia huko kwako ndio maana msamiati huo haukutoki.Sijui kama umekula
Swissme
Unataka nikujibu nini? Endeleeni kuburudika na teja wenu. Mmepangaje anaanzaa Mbowe au Lisu lakini mlipeleka kwa Lema aha! mtajua wenyewe.Haya maneno yako ni kiashiria tosha kwamba nawe ni mvuta bhangi
Wewe pia unastahili kupewa ubunge wa viti maalum. Napenda sana msimamo wako na uwezo mkubwa uliokuwa nao kujenga hoja. Ila ikitokea basi uachane na zile kambi mbili. 🙂🙂
Atakigawa chama vipande vipande. Yaani kuna watu wapo chadema mda mrefu wamepigania chama na hawajapewa hvyo viti maalum wema aje tu huko alikotoka apewe viti maalum? Akipewa basi papuchi yake itakuwa ina kismat sanaWema apewe ubunge wa viti maalum.
Tukiachana na madhaifu yake ambayo yeye kama sisi binadamu wengine anayo...wema yuko njema kichwani.
Ile speech aliyoitoa siku ya kuhamia CDM niliipenda sana.
Ana kitu ndani yake,apewe nafasi.
Lowassa alivyopewa kuwa mgombea alikuwa ameihangaikia chadema?Atakigawa chama vipande vipande. Yaani kuna watu wapo chadema mda mrefu wamepigania chama na hawajapewa hvyo viti maalum wema aje tu huko alikotoka apewe viti maalum? Akipewa basi papuchi yake itakuwa ina kismat sana
Jamaniiiiiiii thank you my brother.
Zipi tena hizo?[emoji4]
Lowasa aliinunua nafasi ile kwa mpunga mrefu na alikuja na gia ya kuja na wafuasi kibao kutoka ccmLowassa alivyopewa kuwa mgombea alikuwa ameihangaikia chadema?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Nikipata position adwim kama hiyo lazima niache kaka.Zile za muziki 🙂
Hivi unafikiri nguvu ya kumnadi nchi mzima inatoka wapi?Mbona kafulila haikuwa hivyo hapo mtu was kiki kakutana na wanao penda kiki lazima awapeleke anavyo takaNi nadhani Wema kaenda Cdm kufanya biashara tu, sasa HV anatafuta kiki kwanza wamkubali wa mama wa cdm, baadae utaskia nina kanga maalumu kwa wa mama wa chadema, Mara heleni, Mara gauni na vipodozi. Zaidi ya hapo hana msaada wa maana
Kibaka toKwangu njaa inapaona ni kituo cha polisi haikai ikasogea. Imebaki kujifungia huko kwako ndio maana msamiati huo haukutoki.
Mm pia naamini hivyo.Wema haifiki 2020 atakuwa kesharudi CCM...take or leave it.