Miss tz mwaka 2012 huyu hapa.

mnyakaye

Member
Joined
Sep 29, 2012
Posts
68
Reaction score
7
Mrembo wa dunia nchini tz apatikana . Mrembo wa kitongoji cha sinza manispaa ya kinondoni ameibuka mshindi wa kwanza katika shindano la miss tanzania ambalo limefanyika usiku wa leo tarehe 03/11/2012 katika ukumbi wa ubungo plaza d'salaama.
Mrembo huyo anaitwa brigiter alfred mwenye umri wa miaka 18. Ushindi wake umemwezesha kupata zawadi fedha taslimu ya sh. Millioni nane pamoja na gari mpya aina ya noah. Hongera zao woooote.
 
elimu yake? huyu atacompete vipi na wasomi miss world?
tutashika mkia kila mwaka kwa kuchagua mamis wasio na vigezo uhimu
 

Picha tafadhali
 

ana bahati mbaya mwezeshaji wao PAPA MSOFE yupo nyuma ya NONDO
 
Nimemfuatilia kwa makini, she is good, ila nimeshangaa mbona hamna crown mwaka huu?
 
Unachaguliwaje 2012 ukawakilishe kwenye Miss World 2013 nchi ya ajabu sana hii.
 
Upuuzi mtupu ati Mrembo! hakuna mrembo kuliko mwingine bana! dada zetu wote ni warembo! sana sana huu ni mchezo mchafu wa kimaadili! dada zetu wanaachwa nusu uchi na wengine wanajichubua kwa madawa mpaka wanakuwa weupe kama wazungu! huo ndio urembo?

Tuache kuwadhalilisha dada zetu kwa kuwatembeza uchi ktk mastegi huku wanaume wakiwakodelea macho mkononi chupa za kilevi ati wanamchagua mrembo kuliko wote! upuuzi huo!
 
Upuuzi mtupu ati Mrembo! hakuna mrembo kuliko mwingine bana! dada zetu wote ni warembo! sana sana huu ni mchezo mchafu wa kimaadili! dada zetu wanaachwa nusu uchi na wengine wanajichubua kwa madawa mpaka wanakuwa weupe kama wazungu! huo ndio urembo?

Tuache kuwadhalilisha dada zetu kwa kuwatembeza uchi ktk masteji huku wanaume wakiwakodelea macho mkononi wameshika chupa za kilevi ati wanamchagua mrembo kuliko wote! upuuzi huo! wako wapi wapigania haki za binaadamu?
 

Hao dada zako wanalazimishwa kushiriki?
 
Hawa Mamis wetu wanapigwaga mtarimbo mpaka noma! Haka katoto utakuta mpaka mtandao pendwa watu washapiga! Kuna jamaa kamzungumzia papaa Musofe hapo juu huyo nimeamin ana clue ya what is going on in miss Tz! Sitaki maswali!
 
Hahahahahahaha yupo mwenzake Muzamil Katunzi atawashughulikia ipasavyo


Muzamil katunzi si mshumaa yule aka mtarimbo doro? Dallas Wheels kashafua! Ndama anaemea pua moja,Kizaizai supa tall anapumulia mashine,Musoffe behind bars,Abdul nkeketa yupo busy na wanakilombero anaogopa m4c,chief kiumbe yupo yupo na dripu kwa sasa ustazi juma na musoma yupo busy na watanashati ent.....Huyo lazima akae tu hatovuma maana wawezeshaji wote mipunga imekata.
 
Hawa Mamis wetu wanapigwaga mtarimbo mpaka noma! Haka katoto utakuta mpaka mtandao pendwa watu washapiga! Kuna jamaa kamzungumzia papaa Musofe hapo juu huyo nimeamin ana clue ya what is going on in miss Tz! Sitaki maswali!
Kumbe dada zetu wanapulizwa mbaya.

Ndio maana baada ya mashindano kwisha wanaendeleza biashara ya kupandwa kama mbwa jike.

Halafu siku hizi inasemekana wengi wana ngoma.
 
Nimemfuatilia kwa makini, she is good, ila nimeshangaa mbona hamna crown mwaka huu?
Mtoto yuko vizuri na pia inasemekana siyo mchoyo.

Mkuu kusanya mavumba ukajaribu bahati yako kwa huyo miss Tz.
 
Binti ni mrembo lakini hizo dua zenu mbaya na hao who would predators , i pity her!i pray to God that she keeps her virtue and dignity tipy top and high!congrats!
 
Nasubiri wenzetu walalamike kuhusu "mfumo Kristo" unawapendelea hata mamiss!
 
haya mashindano hayana tija kwa taifa hili........... useless
 
Wapi papaa madenge!?zamu yake sasa kwa huyo dogo dogo miss brig
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…