Miss tz vodacom inaendelea, star tv live

Unachagua kutumia lugha gani? Kiswahili Tafazari. Tuna mrima kilimanjaro na pili mrima uliopata nafasi namba tatu hii inaonyesha Mrima wa kilimanjaro upo juu kama huyu mrembo!,
 
Unachagua kutumia lugha gani? Kiswahili Tafazari. Tuna mrima kilimanjaro na pili mrima uliopata nafasi namba tatu hii inaonyesha Mrima wa kilimanjaro upo juu kama huyu mrembo!,
Hahahah...mbavu sina!!
 
Mshindi Miss Tanzania 2011 ni..
Namba tatu..Alexia Williums
Namba mbili..Trace sospeter
Na mshindi ni...Salha Israel
 
well nilitaka tracy sospeter number 22 ashinde,ila not too bad salha naye namkubali
 
ELTORO thanks kwa kutuwekea link nimejionea kila kitu na nimefurahi.....
 
Mbona walipochoma bar zeetu awakushusha bendera nusu mlingoti hawa ni wanafiki wakubwa
 
Napita tu mshindi alimjua lundenga kabla ya kuanza poleni
 
Miss TZ 2011 bibie Salha kwa kuwa umepatikana siku ya janga la taifa tunakuomba uende Z'bar kuwapa pole wafiwa na iwe assignment yako ya kwanza baada ya hapo nitaonana na Lundenga tuonane rasmi
 
<br />
<br />
Haingii akilini kbs TAIFA LINA MSIBA WENGINE WANA SHOW UMISS,Unajua vodakom wamebadili nembo yao na kuweka ile ya EREEMASON.YA TONE LA DAMU?
 
Miss TZ 2011 bibie Salha kwa kuwa umepatikana siku ya janga la taifa tunakuomba uende Z'bar kuwapa pole wafiwa na iwe assignment yako ya kwanza baada ya hapo nitaonana na Lundenga tuonane rasmi
<br />
<br />
Mzee unataka peleka posa nini? Nakushauri uvae kipedeshee uwe unanukia mihela,nahsi ana kibarua cha kulipa fadhila.kwanza ndo aende zenji
 
down to hell with vodacom & miss tz organizers!
 
Baada ya kutangazwa meli kuzama asubuhi, mbona CCM waliendelea na uzinduzi wa kampeni kule Igunga, TOT, akina Masanja na wengine mziki kwa kwenda mbele chama tawala wanakula bata mchana kweupe itakua Miss Tz Vodacom acheni unafiki, tusonge mbele kufa kufaana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…