Miss u pple

Miss u pple

duh Pearl ndio nini kutoweka bila ya kuaga.. ila angalau nakuona ona sehemu...
 
Karibu jamvini. Tulikumis si mchezo mamii. Vipi bado upo kwenye banda la kuku?
 
Jamani habari za maisha na masiku tele,kwaweli nawamiss na kuwapenda sana
hivi wewe?=ni leo tu nilikua nafikiria kukuanzishia sredi hapa,ninini hivyo au ndo mapenzi kwa akili mukichwa yamekaba?sie wazima tu mamii
 
Back
Top Bottom