Miss world 2014: South Africa watwaa taji

Miss world 2014: South Africa watwaa taji

Bora angeenda Sitty Mtemvu may be Mzee angecheza faulo za kimagamba ashinde😱😱😕
 
i feel sory for her i thought angefika mbali maana tumejitahidi kweli kumsapoti
 
Hapiness yuko vizuri upstairs ila sura ndio imemuangusha,hata umbo lake sijalipenda sana.
 
i feel sory for her i thought angefika mbali maana tumejitahidi kweli kumsapoti

kwa vigezo wanaangalia miss world tz sijui km tukiendelea na style ya lundenga tutafikia ushindi. kamwe hatuwezi. kile kigezo cha voting hakikupi ushindi ila kinakusogeza sogeza high table
 
Hili genge la lundenga linalosanifu miss tanzania ndio mizinguo.. Tutakuwa wasindikizaji kila mara. Genge la wajanja wachache wakina lundenga hamjalijua vizuri. Mimi in short hapa tz sinaushabiki na chochote kile.. Hata kura leo sijapiga. Pumbavu kabisaa.
 
Hili genge la lundenga linalosanifu miss tanzania ndio mizinguo.. Tutakuwa wasindikizaji kila mara. Genge la wajanja wachache wakina lundenga hamjalijua vizuri. Mimi in short hapa tz sinaushabiki na chochote kile.. Hata kura leo sijapiga. Pumbavu kabisaa.

Hivi ni taasisi/mtu gani aliyempa dhamana Lundenga kuratibu haya mashindano hapa Tanzania?
 
Hivi ni taasisi/mtu gani aliyempa dhamana Lundenga kuratibu haya mashindano hapa Tanzania?

Anadai ishu hizo alianzisha yeye Kama yeye mwenyewe . walikuwa wawili yeye na mhindi mmoja ila wamegombana (kuna kesi mahakamani). Kampuni Kama sikosei ni lino entertainment
 
Sijui tz tutaondoa lini gundu jamani japo tupate wa kuvuka alipofika Nancy

Hahahaaaa na kweli kuondoa gundu. Umenikumbusha kuondoa gundu, ni kama vile binti hadi anafikisha over 40 yrs kwa wazazi hadi anataka aolewe na mwanaume yeyote wa kutoa gundu.
Ova
 
Anadai ishu hizo alianzisha yeye Kama yeye mwenyewe . walikuwa wawili yeye na mhindi mmoja ila wamegombana (kuna kesi mahakamani). Kampuni Kama sikosei ni lino entertainment

kwa hiyo kama yeye ndiye mwasisi, ndiyo anajipa top authority kwenye hili?
hivi haoni lina impact gani kwenye taifa ndani na kimataifa?
 
Matokeo ya Miss World
1. South Africa. Rolene Strauss

2. Hungary - Edina
Kulcsár

3.USA..
Elizabeth Safrit

Tanzania tujitoe tu kwenye haya mashindano..
141214_finalraw_04.jpg
 
Matokeo ya Miss World
1. South Africa. Rolene Strauss

2. Hungary - Edina
Kulcsár

3.USA..
Elizabeth Safrit

Tanzania tujitoe tu kwenye haya mashindano..

naomba samahani - mimi huyu Miss Tanzania kiukweli waliompitisha sijui walipitiwa au 90% ya majaji walikuwa na makengeza, no idea, ni msichana/binti wa kawaida kabisa hana mvuto kwangu sijui kwa wenzangu, samahani tena.
 
Back
Top Bottom