Miss World atua Arusha, hajaamini kama hapa duniani kuna pepo

Pepo!!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Akili sio tako
sasa miss unaangaliaje akili waache uhuni bhana, kama ni hivyo wangeweka mashindano ya wenye IQ kubwa tu
hayo ni mashindano ya urembo sio akili, wanatakiwa watuletee vifaa kwelikweli sio haya maghalasa
 
sasa miss unaangaliaje akili waache uhuni bhana, kama ni hivyo wangeweka mashindano ya wenye IQ kubwa tu
hayo ni mashindano ya urembo sio akili, wanatakiwa watuletee vifaa kwelikweli sio haya maghalasa
Yanaitwaga Beauty with purpose/Beauty with Brains
 
Amepapenda sana burigi kule kakutana na chatu anaeongea lugha za mabeberu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…