Ndio zetu MATAGAMagu kafanya nn tena... Yaani wew hata mkeo ukimtia mimba bado utasema asante meko
sasa miss unaangaliaje akili waache uhuni bhana, kama ni hivyo wangeweka mashindano ya wenye IQ kubwa tuAkili sio tako
Hebu weka picha ya mama'ko hapa tumuone!hayo ni mashindano ya urembo sio akili, wanatakiwa watuletee vifaa kwelikweli sio haya maghalasa
Ukiwa vizuri upstairs unakuwa miss world!huyu ndiye miss world? mbna kazidiwa uzuri na mwajuma ndala mbili? huko duniani wanaangalia vigezo gani kuwa miss world?
Yanaitwaga Beauty with purpose/Beauty with Brainssasa miss unaangaliaje akili waache uhuni bhana, kama ni hivyo wangeweka mashindano ya wenye IQ kubwa tu
hayo ni mashindano ya urembo sio akili, wanatakiwa watuletee vifaa kwelikweli sio haya maghalasa
mama ameingiaje tena??!...au ndo mambo ya haki za kibinadamu?Hebu weka picha ya mama'ko hapa tumuone!
[emoji23][emoji23]laiti angejua kuwa tulio tz tuna hamu ya kuikimbia nchi yetu wenyewe, walahi asingethubutu kuzungumza huo utumbo!
[emoji1787][emoji1787]Hongera Magufuli, Tanzania imekuwa kimbilio la wengi
Amepapenda sana burigi kule kakutana na chatu anaeongea lugha za mabeberuMiss World ashangazwa na uzuri wa Arusha, amuomba rais kibali maalumu cha kujenga nyumba Tanzania
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo akimpa zawadi ya maua Miss World, Vannesa Ponce mara baada ya kuwasili mwishoni mwa wiki katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA), kulia ni Miss Tanzania, Sylivia Sebastian.
kabisa mkuu kumbe hili shindano lipo badomiss Tanzania anakidhi vigezo vya uzuri vya ulaya
Ni wewe peke yako naipenda Tz ubaridi wa Arusha kama London vile😂laiti angejua kuwa tulio tz tuna hamu ya kuikimbia nchi yetu wenyewe, walahi asingethubutu kuzungumza huo utumbo!