Haaaaa! kwa hiyo miss Kenya fitna imempa ushindi wa kufika hapo? Huruma kuwa wameibiwa wamasai wao? Kazi kubwa.
Hii ndiyo final list ya beauty with a purpose, Tanzania is no where to be seen.
Kweni Kenya hakuna masaiHabari za leo,
Nimepokea taarifa hii kwa masikitiko, ile documentary aliyoiandaa Diana Lukumay ya Genital Female Mutilation, ambayo imempa unique platform kwakuwa ni sensitive issue ambayo haijawahi kutowela na miss world. Miss Kenya amesema Wamasai wako Kenya si Tanzania na kuwa documentary yote imechukuliwa Kenya.
na Mlima Kilimanjaro uko Kenya!!!!Siwashangai wakenya maana wanasemaga hata samata ni wakwao,,maguful wakwao,,,daaah tuwasamehe tu
Yeye huwa anachambaga wa Tanzania tu!Ngoja nisuburi kuona kama MANGE atamchamba huyo Miss Kenya
Huy miss wetu.hakustahili watz tunapenda kushind kwa kura ndo hivy wengi mlizani hiz ni tuzo kama aliyoshinda alikiba kwa kunganganiaHabari za leo,
Nimepokea taarifa hii kwa masikitiko, ile documentary aliyoiandaa Diana Lukumay ya Genital Female Mutilation, ambayo imempa unique platform kwakuwa ni sensitive issue ambayo haijawahi kutowela na miss world. Miss Kenya amesema Wamasai wako Kenya si Tanzania na kuwa documentary yote imechukuliwa Kenya.
Habari za leo,
Nimepokea taarifa hii kwa masikitiko, ile documentary aliyoiandaa Diana Lukumay ya Genital Female Mutilation, ambayo imempa unique platform kwakuwa ni sensitive issue ambayo haijawahi kutowela na miss world. Miss Kenya amesema Wamasai wako Kenya si Tanzania na kuwa documentary yote imechukuliwa Kenya.