Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Trulypole,unatukumbusha sie ambao wazazi bado wapo hai,tu appreciate their presence.again,pole.
Pole sana MkuuUmenifanya niache kila kitu,machozi yanagonga mboni kwa mara nyingine tena,najisikia vibaya nikiwa na marafiki wakianza kusema wanunue zawadi za mama,wengine za baba! Mie nabaki kuumia rohoni tu huku nikijisemea why mom and Dady mliamua kuniacha huku peke yangu? Ni wapi nilimkosea Mungu mpaka akanifanyia hiki? Kweli mpaka leo Mungu nakudai sijawahi kukaa na kupata faraja zaidi ya kujikaza tu! Miss you Mom,Mis you Dady. May you rest in peace
Asante dadaPole sana mdogo wangu. Mwenyezi Mungu ampumzishe kwa amani mama yetu mpendwa.
Acha tu my dear, kukosa mzazi hapa duniani maisha hayawez kamilika, ni kujikaza tuUmenifanya niache kila kitu,machozi yanagonga mboni kwa mara nyingine tena,najisikia vibaya nikiwa na marafiki wakianza kusema wanunue zawadi za mama,wengine za baba! Mie nabaki kuumia rohoni tu huku nikijisemea why mom and Dady mliamua kuniacha huku peke yangu? Ni wapi nilimkosea Mungu mpaka akanifanyia hiki? Kweli mpaka leo Mungu nakudai sijawahi kukaa na kupata faraja zaidi ya kujikaza tu! Miss you Mom,Mis you Dady. May you rest in peace