Missing Persons Special Thread....

RRONDO

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2010
Posts
55,727
Reaction score
123,094
Heaven on Earth
Huyu mrembo amepotea kwa muda usiojulikana, mara ya mwisho alionekana mitaa ya Biashara na Uchumi, huwa anapenda kutembelea mitaa ya MMU na Chit Chat. Popote utakapomuona unaombwa kutoa taarifa hapa.
Heaven Sent
Huyu mrembo amepotea kwa takribani mwezi mmoja, yeyote atakaemuona popote pale atoe taarifa hapa. Huwa anapenda kutembelea mitaa ya MMU na huko ndipo alipooneka kwa mara ya mwisho.
masai dada aka Crazy Sexy Cool huyu ndito kapotea miaka kadhaa sasa, nasikia huwa anaonekana mara chache sana mitaa hii ya chit chit.
Tyta mzee wa picha, huyu jamaa ilikuwa ukihitaji picha inayohusu tukio lolote analupatia in no time,popote atakapooneka toa taarifa haraka.
 
Hahaaa. Vizia ka dame kamoja ukafate fate ukaquote quote kakiku notice mwaga sera. Ikikubaliwa you are good to go.

Isipokubaliwa mkuu try again. Haiwezekani warembo woooote wakukatae wewe.
Ushauri wako mzuri! Wadada wa JF hawawezi kunikubali Mimi muuza Mapupu na vichwa vya kuku asubuhi, usiku Mlinzi! Na Mimi kufake siwezi. Wao wanataka wacheza FOREX
 
Hahaaa. Vizia ka dame kamoja ukafate fate ukaquote quote kakiku notice mwaga sera. Ikikubaliwa you are good to go.

Isipokubaliwa mkuu try again. Haiwezekani warembo woooote wakukatae wewe.
Ngoja bas me nianze na ww
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…