Missing Persons Special Thread....

Missing Persons Special Thread....

Thank you.

Hapana. Simjui huyo mdau.

Basi nikawa sikuamini amini lakini now nimekuelewa. Lol

haha, ni likes tu bhana.

Labda zije zitunogee baadae ila niamini kwasasa.
 
Heaven on Earth
Huyu mrembo amepotea kwa muda usiojulikana, mara ya mwisho alionekana mitaa ya Biashara na Uchumi, huwa anapenda kutembelea mitaa ya MMU na Chit Chat. Popote utakapomuona unaombwa kutoa taarifa hapa.
Heaven Sent
Huyu mrembo amepotea kwa takribani mwezi mmoja, yeyote atakaemuona popote pale atoe taarifa hapa. Huwa anapenda kutembelea mitaa ya MMU na huko ndipo alipooneka kwa mara ya mwisho.
Ever loved... Truly adored Angel Nylon... Misingi you mumie
 
Kuna mtu nimemmiss sana humu ila nahisi nikitag ID yake hapa italeta mushkeri

Anyway najua umesoma hapa
Sorry for being too harsh nilikua nimefulia hasira nikahamishia kwako.
 
Kuna mtu nimemmiss sana humu ila nahisi nikitag ID yake hapa italeta mushkeri

Anyway najua umesoma hapa
Sorry for being too harsh nilikua nimefulia hasira nikahamishia kwako.
Aisee...kwahio hasira zako ndio zimemkimbiza?
 
Hahaaa. Vizia ka dame kamoja ukafate fate ukaquote quote kakiku notice mwaga sera. Ikikubaliwa you are good to go.

Isipokubaliwa mkuu try again. Haiwezekani warembo woooote wakukatae wewe.
Old soldier train new soldier
 
Back
Top Bottom