ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
As much as we hate change, life is full of it.I just hate changes. Labda nilihisi it would change everything about you.
Hata JF ilipobadilika outlook I walked away kwa mda sana.
Niambie basiii🙄🙄
JF haina mbadala. Watarudi tu - sooner or later. Ila hatuna guarantee kama watarudi na ID zao halisi.Hizi zama zimepoteza watu...
Sawa aise sitapotea tenaKaribu sana.
Usipotee tena.
Thank You.As much as we hate change, life is full of it.
It's like there is a constant war between accepting change and resisting it. Lakini bora ulikubali the new JF interface, many of us in here love your thoughts. In the chaotic nature of the present JamiiForums you help instill sense into so many of us in here.
Wanatuchora...Au wapo.....🙂
hahahaaaaaaaaaaaaa nimepatikana haya katoe taarifa polisi
naomba nisaidie unafanyaje kuunganisha id hizo nami nataka nijueTatizo watu ID zaidi ya moja ukimuona kapotea kwa jina moja ujue kaibuka na jingine.
Mpk sasa kuna watu 4 nimeunganisha ID zao. JF ina raha zake inabidi uwe makini sn na urafiki wa humu wengine wadukuzi tu
nakumiss mpaka naumwa yaani hahaaaaaSawa aise sitapotea tena
ladyfurahia upo aisenakumiss mpaka naumwa yaani hahaaaaa
maisha bestito si unajua tena tunapambana ila kikweili nimekumiss sana inabidi tuonane tena mwaya
Kabisa aisemaisha bestito si unajua tena tunapambana ila kikweili nimekumiss sana inabidi tuonane tena mwaya
Mkuu mimi nipoMzizi mkavu
Faiza fox
Bitoz
Hawa ni most wanted and heavily armed.toa taarifa mapema ukiona watu hao
Sio kosa mtu kuwa na ID nyingi hata kuwa nazo 10 inaruhusiwaTatizo watu ID zaidi ya moja ukimuona kapotea kwa jina moja ujue kaibuka na jingine.
Mpk sasa kuna watu 4 nimeunganisha ID zao. JF ina raha zake inabidi uwe makini sn na urafiki wa humu wengine wadukuzi tu