changaule
JF-Expert Member
- Jan 10, 2020
- 6,039
- 10,151
Tuanza kukufanyia wewe kwanza analysis kabla ya kuhamia kwa Abuya. Kama unaandika nyuzi kibao za ku criticize mtu au timu na kutoa utabiri kisha zote unaishia kuumbuka maanake hujui kitu, hata shuleni kulikuwa na watu wanaojifanya wajuaji ila mwisho wa siku anakamatika kwenye matokeo ya mtihani. Katika 50 ukishindwa kupata hata nusu yake ni wazi hujui kitu.mech ni leo. analysis abuya
Angalia idadi ya wanaokuunga mkono hoja yako vs idadi ya wanaopingana nawe ni jibu tosha kuwa una la kujifunza kuhusu uchambuzi. Mchambuzi hawezi kukubalika mawazo yake na wote lakini kama zaidi ya asilimia 80 inakukatalia ujue umechochora.