Mistari itumikayo katika kutongozea!

Tobycow we ndo umetoa point::
Chonde chonde ngoma nomaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ikifa uwezi sikia kabisa

... Na hadi leo haina spear !
Tunapenda kuichezeachezea tu bila umakini... Subiri sasa ikuchoke maji utaita mma !... Ni kitu kidogo lakini hatari sana.
 
On opposte side kama atakataa je kuketi mezani ....utaingiza mstari upi tunaomba alternative tafadhari
 
wote mmeongea lakin cjackia mtajo kondom

haswaaaaaaa!!!!!!, KONDOMU naona haijawekewa bajeti, KakaKiiza ebu angalia namna ya kuifanyia setting, kwani ni vigumu kuamini na kutambua kama huyo mwenza uliyempata ghafla kama yuko salama
 
haswaaaaaaa!!!!!!, KONDOMU naona haijawekewa bajeti, KakaKiiza ebu angalia namna ya kuifanyia setting, kwani ni vigumu kuamini na kutambua kama huyo mwenza uliyempata ghafla kama yuko salama

mkuu nawe umooooo!
 
unaenda kutongoza huku umebeba kondom usipofanikiwa utaigeuza pulizo?
hah
aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa u made ma day boy loh!
cpati nega mtu kasomesha demu kamdindia sasa anatoa condom na kuanza kupuliza ka pulizo hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
haswaaaaaaa!!!!!!, KONDOMU naona haijawekewa bajeti, KakaKiiza ebu angalia namna ya kuifanyia setting, kwani ni vigumu kuamini na kutambua kama huyo mwenza uliyempata ghafla kama yuko salama
Nyoka yupo miguuni kwako unauliza fimbo uliyokujanayo ambayo umeweka kwenye gari la hunting??kata mti wowote mchape nao baadae fanya finishing na fimbo uliyokuja nayo!!Ila angalizo fimbo ya fasta angalia isiwe na miiba utaumia au kama vipi tumia Zuma style!!!!!
 
Huu uzi unanishangaza, una views zaidi ya laki moja lakini michango (post) ndio kwanza nimewezesha zifikie 34. Kuna tatizo gani?
 
Nimecheka sana mkuu wewe tayari nakupeana umepeana
 
Baamed: karibu kaka nikuhudumie?
Jamaa: naomba bingwa.
Baamed: hii hapa
Jamaa: vipi dada mi nataka unipe mzigo mana nmekuelewa sana.
Baamed: haina shida, utanipa efu kumi, chukua chumba twende.
Jamaa: tuanze kuharibu hela ya chumba akati mahindi yamekuwa makuubwa kabisa ivi hatuoni mtu iyo hela si bola nikununulie chakula.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…