Misuguano Act-wazalendo: Tujadiliane kizalendo zaidi

Misuguano Act-wazalendo: Tujadiliane kizalendo zaidi

mugah di matheo

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
6,307
Reaction score
12,410
Kinachoendelea ndani ya Act hasa kwa wagombea wa wili wa ubunge kumshutumu Maalimu na zitto juu ya kumuunga mkono Lissu na kumshutumu Maalimu kuwa amekiuka katiba ya chama hicho hivyo anapoteza uanachama na sifa ya kugombea .

Tujadiliane kama wazalendo kitendo chochote cha kumtoa Maalimu kwenye uchaguzi ni kuhatarisha amani ya Zanzibar na hilo kila MTU ndani ya nchi hii anakijua


Nionavyo Mimi
Hao watu wanaomhujum Maalimu hawatumiwi na watanzania bali na mabeberu hivyo tuwapige wote kwa pamoja na tusishangilie hata kidogo.

Mtego upo hapa
Ikiwa katiba ya ACT itafuatwa Maalimu ataenguliwa na akienguliwa hata furahia na wafuasi wake wataanza kuandamana,wakiandamana polisi wanajaribu kuyavunja maandamano na wakitumia nguvu kidogo tu mabeberu watakuja kuwasaidia hao waandamanaji within 24 hours na hapo watakachofanya ni kuigawana nchi moja visiwani na mwingine atakuja bara.
Hivyo tuwakatae hao watu maana mabeberu wameshindwa kutumia rais magufuli na wameshindwa kumshawishi Maalimu, hivyo hao si wazuri tukiwaruhusu si ccm wala ACT wote tunapoteza

Ushauri wangu
Tuwaache wagombea wote waingie kwenye uchaguzi halafu hata tukicheza na kura ni bora ila tuhakikishe tunawashawishi wapemba wote wasiandamane hata moja

Asanteni
 
Seif alishasema maamuzi ya kumuunga mkono Lissu hayakuwa ya Seif peke yake au Zitto peke yake, yalikuwa maamuzi ya vikao halali vya chama, na usikute hata hao wapiga kelele wawili nao walikuwa sehemu ya hivyo vikao.

Tatizo siku zote wanaotumiwa na CCM huwa hawatumii akili kutengeneza pumba zao mbele ya wana habari, huwa wanakurupuka tu kuropoka chochote.
 
Seif alishasema maamuzi ya kumuunga mkono Lissu hayakuwa ya Seif peke yake au Zitto peke yake, yalikuwa maamuzi ya vikao halali vya chama, na usikute hata hao wapiga kelele wawili nao walikuwa sehemu ya hivyo vikao.

Tatizo siku zote wanaotumiwa na CCM huwa hawatumii akili kutengeneza pumba zao mbele ya wana habari, huwa wanakurupuka tu kuropoka chochote.
Kwa mujibu wa Katiba yao ni mkutano mkuu pekee wenye mamlaka hayo, lini na wapi ulisikia au kuona mkutano wao mkuu umekaa na kupitisha maazimio hayo?
 
Kinachoendelea ndani ya Act hasa kwa wagombea wa wili wa ubunge kumshutumu Maalimu na zitto juu ya kumuunga mkono Lissu na kumshutumu Maalimu kuwa amekiuka katiba ya chama hicho hivyo anapoteza uanachama na sifa ya kugombea .

Tujadiliane kama wazalendo kitendo chochote cha kumtoa Maalimu kwenye uchaguzi ni kuhatarisha amani ya Zanzibar na hilo kila MTU ndani ya nchi hii anakijua


Nionavyo Mimi
Hao watu wanaomhujum Maalimu hawatumiwi na watanzania bali na mabeberu hivyo tuwapige wote kwa pamoja na tusishangilie hata kidogo.

Mtego upo hapa
Ikiwa katiba ya ACT itafuatwa Maalimu ataenguliwa na akienguliwa hata furahia na wafuasi wake wataanza kuandamana,wakiandamana polisi wanajaribu kuyavunja maandamano na wakitumia nguvu kidogo tu mabeberu watakuja kuwasaidia hao waandamanaji within 24 hours na hapo watakachofanya ni kuigawana nchi moja visiwani na mwingine atakuja bara.
Hivyo tuwakatae hao watu maana mabeberu wameshindwa kutumia rais magufuli na wameshindwa kumshawishi Maalimu, hivyo hao si wazuri tukiwaruhusu si ccm wala ACT wote tunapoteza

Ushauri wangu
Tuwaache wagombea wote waingie kwenye uchaguzi halafu hata tukicheza na kura ni bora ila tuhakikishe tunawashawishi wapemba wote wasiandamane hata moja

Asanteni
Jeshi letu ni imara mara 30 kuliko jeshi lolote la beberu
 
USA ndio mbaya zaidi na anawanajeshi zaidi ya 5000 wanaoweza kufika nchin ndani ya 10 hours (Kenya,Djibouti, Somaland,Mauritius na wengi zaidi Sun Garcia)
Sisi jeshi letu la tanzania lina uwezo wa kuisambaratisha Washington DC iwe kifusi ndani ya dakika 10 tuuuuuuuuuu.

Hao wanajeshi wa Marekani wasithubutu kuja nchini.
 
Akuna mkutano mkuu wa ACT uliofanyika ili kumuunga mkono mgombea wa chama kingine.
malalamiko ya wapinzani kwa serikali wao wapinzani ndo wanayafanya maradufu zaidi ya yale wanayolalamikia.
Zito kazidiwa na wazanzibar walioiteka ACT wanamuharibia chama kama walivyoiharibu CUF.
 
Akuna mkutano mkuu wa ACT uliofanyika ili kumuunga mkono mgombea wa chama kingine.
malalamiko ya wapinzani kwa serikali wao wapinzani ndo wanayafanya maradufu zaidi ya yale wanayolalamikia.
Zito kazidiwa na wazanzibar walioiteka ACT wanamuharibia chama kama walivyoiharibu CUF.

Kwa taarifa yako Zito anawahitaji hao wazanzibari kuliko wanavyomuhitaji. Zito wanajuana na Membe, ila Maalim Seif kaingia mahali pasipostahili. Choko choko zote ni kumuwinda Seif na wazanzibari, maana nguvu ya ACT ni hao wapemba.
 
Kinachoendelea ndani ya Act hasa kwa wagombea wa wili wa ubunge kumshutumu Maalimu na zitto juu ya kumuunga mkono Lissu na kumshutumu Maalimu kuwa amekiuka katiba ya chama hicho hivyo anapoteza uanachama na sifa ya kugombea .

Tujadiliane kama wazalendo kitendo chochote cha kumtoa Maalimu kwenye uchaguzi ni kuhatarisha amani ya Zanzibar na hilo kila MTU ndani ya nchi hii anakijua


Nionavyo Mimi
Hao watu wanaomhujum Maalimu hawatumiwi na watanzania bali na mabeberu hivyo tuwapige wote kwa pamoja na tusishangilie hata kidogo.

Mtego upo hapa
Ikiwa katiba ya ACT itafuatwa Maalimu ataenguliwa na akienguliwa hata furahia na wafuasi wake wataanza kuandamana,wakiandamana polisi wanajaribu kuyavunja maandamano na wakitumia nguvu kidogo tu mabeberu watakuja kuwasaidia hao waandamanaji within 24 hours na hapo watakachofanya ni kuigawana nchi moja visiwani na mwingine atakuja bara.
Hivyo tuwakatae hao watu maana mabeberu wameshindwa kutumia rais magufuli na wameshindwa kumshawishi Maalimu, hivyo hao si wazuri tukiwaruhusu si ccm wala ACT wote tunapoteza

Ushauri wangu
Tuwaache wagombea wote waingie kwenye uchaguzi halafu hata tukicheza na kura ni bora ila tuhakikishe tunawashawishi wapemba wote wasiandamane hata moja

Asanteni
Zitto na Malimu ni wabaka demokrasia
 
Kwa taarifa yako Zito anawahitaji hao wazanzibari kuliko wanavyomuhitaji. Zito wanajuana na Membe, ila Maalim Seif kaingia mahali pasipostahili. Choko choko zote ni kumuwinda Seif na wazanzibari, maana nguvu ya ACT ni hao wapemba.
Hii game membe anaichezesha kwa manufaa yake ,sii zitto sii ccm wala Maalimu ni membe ndio anatumika na mabeberu ila ccm ndio wanafunguo wa hii kitu kwa kukubali mtego wa kumtoa Maalimu ama kujifanya kama hawamuoni Maalimu
 
Nadhani ungejikita kwenye kuupata ukweli kama katiba imevunjwa.
Na kama imevunjwa je adhabu kwa walioivunja ni nini?
Sishauri kutetea katiba kuvunjwa kwa kuwa vyama vya upinzani ndio vinatakiwa kuwa mfano bora
 
Kinachoendelea ndani ya Act hasa kwa wagombea wa wili wa ubunge kumshutumu Maalimu na zitto juu ya kumuunga mkono Lissu na kumshutumu Maalimu kuwa amekiuka katiba ya chama hicho hivyo anapoteza uanachama na sifa ya kugombea .

Tujadiliane kama wazalendo kitendo chochote cha kumtoa Maalimu kwenye uchaguzi ni kuhatarisha amani ya Zanzibar na hilo kila MTU ndani ya nchi hii anakijua


Nionavyo Mimi
Hao watu wanaomhujum Maalimu hawatumiwi na watanzania bali na mabeberu hivyo tuwapige wote kwa pamoja na tusishangilie hata kidogo.

Mtego upo hapa
Ikiwa katiba ya ACT itafuatwa Maalimu ataenguliwa na akienguliwa hata furahia na wafuasi wake wataanza kuandamana,wakiandamana polisi wanajaribu kuyavunja maandamano na wakitumia nguvu kidogo tu mabeberu watakuja kuwasaidia hao waandamanaji within 24 hours na hapo watakachofanya ni kuigawana nchi moja visiwani na mwingine atakuja bara.
Hivyo tuwakatae hao watu maana mabeberu wameshindwa kutumia rais magufuli na wameshindwa kumshawishi Maalimu, hivyo hao si wazuri tukiwaruhusu si ccm wala ACT wote tunapoteza

Ushauri wangu
Tuwaache wagombea wote waingie kwenye uchaguzi halafu hata tukicheza na kura ni bora ila tuhakikishe tunawashawishi wapemba wote wasiandamane hata moja

Asanteni
Kuna siku utakuja na uzi mke wako anatembea na mabeberu.... Kila kitu mabeberu, mabeberu daah too much...
 
Kinachoendelea ndani ya Act hasa kwa wagombea wa wili wa ubunge kumshutumu Maalimu na zitto juu ya kumuunga mkono Lissu na kumshutumu Maalimu kuwa amekiuka katiba ya chama hicho hivyo anapoteza uanachama na sifa ya kugombea .

Tujadiliane kama wazalendo kitendo chochote cha kumtoa Maalimu kwenye uchaguzi ni kuhatarisha amani ya Zanzibar na hilo kila MTU ndani ya nchi hii anakijua


Nionavyo Mimi
Hao watu wanaomhujum Maalimu hawatumiwi na watanzania bali na mabeberu hivyo tuwapige wote kwa pamoja na tusishangilie hata kidogo.

Mtego upo hapa
Ikiwa katiba ya ACT itafuatwa Maalimu ataenguliwa na akienguliwa hata furahia na wafuasi wake wataanza kuandamana,wakiandamana polisi wanajaribu kuyavunja maandamano na wakitumia nguvu kidogo tu mabeberu watakuja kuwasaidia hao waandamanaji within 24 hours na hapo watakachofanya ni kuigawana nchi moja visiwani na mwingine atakuja bara.
Hivyo tuwakatae hao watu maana mabeberu wameshindwa kutumia rais magufuli na wameshindwa kumshawishi Maalimu, hivyo hao si wazuri tukiwaruhusu si ccm wala ACT wote tunapoteza

Ushauri wangu
Tuwaache wagombea wote waingie kwenye uchaguzi halafu hata tukicheza na kura ni bora ila tuhakikishe tunawashawishi wapemba wote wasiandamane hata moja

Asanteni
Jibu ni kuwa hakuna katiba iliyovunja. Ccm wameona hali ni mbaya sana hivyo wameita mamluki wao wote wajitokeze na kujaribu kuleta taharuki. Ila hii movie nayo imeshafeli vibayaaaa kabla haijaaanza
 
Jibu ni kuwa hakuna katiba iliyovunja. Ccm wameona hali ni mbaya sana hivyo wameita mamluki wao wote wajitokeze na kujaribu kuleta taharuki. Ila hii movie nayo imeshafeli vibayaaaa kabla haijaaanza
Maalimu press conference itamkalia vibaya ila kizuri ni kuwa kesi ikifunguliwa j3 itaanza kusikiliZwa j5
 
Back
Top Bottom