Misuguano Act-wazalendo: Tujadiliane kizalendo zaidi

Ukimsikiliza huyo anayejiita mwanasheria na mwalimu wa sheria utajua mission ilikuwaje tangu mwanzo. Kwanza amekiri kwamba alikuwa ccm akahamia ACT. Huyu pamoja na Membe wote ni mapandikizi ambayo mission yao imeshindwa. Sasa wanataka watumie huo ujinga wao kuupotosha umma. Sasa, sasa, wajaribu huo uhuni wao waone.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…