Mita za tanesco

Mita za tanesco

fisadimpya

Senior Member
Joined
Oct 27, 2011
Posts
191
Reaction score
103
Naomba kujua Kuna tofauti ya ulaji wa unit Kwa mita za zamani na mpya za rea?nazungumzia matumizi ya unit kwisha ni sawa.kwamba zote mbili nimeeka unit 5 matumizi ni sawa.uishaji unalingana?
 
Naomba kujua Kuna tofauti ya ulaji wa unit Kwa mita za zamani na mpya za rea?nazungumzia matumizi ya unit kwisha ni sawa.kwamba zote mbili nimeeka unit 5 matumizi ni sawa.uishaji unalingana?

mkuu utumiaji wa umeme unategemea na vitu vinavyotumia umeme ulivyokua nao, kwa iyo kama kila jengo umeweka unit 5, lakin kama kila jengo litakua na vifaa vinavyotumia umeme sawa,ina maana na matumiz yatakua sawa,na hizo unit zitaisha same time, utofaut wa mita za rea na mita nyingine ni katika ununuzi wa unit, wa mfano ukiwa na elfu 5 ukinunua umeme kwenye mita ya rea utapata unit 41 hivi,wakat katika mita ingine kwa elfu 5 iyo unapata unit 14, sijui kama nimekupa muongozo mkuu
 
Matumizi yanaweza kuwa sawa ila mfumo wa wiring ukawa tofauti, yaani moja inaweza kuvujisha umeme ardhini na kusababisha units ziishe mapema
 
Naomba kujua Kuna tofauti ya ulaji wa unit Kwa mita za zamani na mpya za rea?nazungumzia matumizi ya unit kwisha ni sawa.kwamba zote mbili nimeeka unit 5 matumizi ni sawa.uishaji unalingana?
Utofauti wao ni kwenye tarrif tu mteja wa tanesco yuko T1,na mteja wa Rea yuko T4
T1 umeme wa elfu 5 anapata unit 28
T4 umeme wa elfu 5 anapata unit 40 plus
 
mkuu utumiaji wa umeme unategemea na vitu vinavyotumia umeme ulivyokua nao, kwa iyo kama kila jengo umeweka unit 5, lakin kama kila jengo litakua na vifaa vinavyotumia umeme sawa,ina maana na matumiz yatakua sawa,na hizo unit zitaisha same time, utofaut wa mita za rea na mita nyingine ni katika ununuzi wa unit, wa mfano ukiwa na elfu 5 ukinunua umeme kwenye mita ya rea utapata unit 41 hivi,wakat katika mita ingine kwa elfu 5 iyo unapata unit 14, sijui kama nimekupa muongozo mkuu
Sana boss
 
Naomba kujua Kuna tofauti ya ulaji wa unit Kwa mita za zamani na mpya za rea?nazungumzia matumizi ya unit kwisha ni sawa.kwamba zote mbili nimeeka unit 5 matumizi ni sawa.uishaji unalingana?
Ndugu mteja

Tunakujulisha kuwa mita haitumii umeme bali inapima matumizi ya mteja husika hivyo mita zote kabla ya kufungwa kwa wateja zinapimwa kujiridhisha na ufanisi wake

Ahsante
 
Tanesco wanapaswa kuelimisha watu zaidi, watu waelewe mita ni kufaa cha kusomea kiwango cha matumizi ya umeme ama maji.

Mtu kusema mita ya tanesco inakula umeme ni sawa na kusema mita ya dawasco/dawasa imekunywa maji yote, ni jambo lisilowezekana mita kunywa maji ama kula umeme.

Nishati yoyote iwe ya maji ama umeme ama mafuta ili iishe ni lazima iwe imetumika.

Ni sawa na kusema umejaza gari mafuta full tank halafu ukaipaki wiki nzima halafu siku unaiwasha unakuta hakuna mafuta, gari imekunywa mafuta, hili jambo haliwezekani. Ni lazima eitha gari ilitembea ama mtu alikuja akanyonya mafuta ama kuna leakage kwenye tank yakamwagika chini ila gari tu imepaki halafu mafuta yaishe haiwezekani.

Hua nikisikia mtu ambae ameenda shule kabisa anasema mita inakula umeme nasikitika sana. Wakati mwingine hua natoka kwenda chooni ama pembeni kulia kidogo kupunguza machungu 😂
 
mkuu utumiaji wa umeme unategemea na vitu vinavyotumia umeme ulivyokua nao, kwa iyo kama kila jengo umeweka unit 5, lakin kama kila jengo litakua na vifaa vinavyotumia umeme sawa,ina maana na matumiz yatakua sawa,na hizo unit zitaisha same time, utofaut wa mita za rea na mita nyingine ni katika ununuzi wa unit, wa mfano ukiwa na elfu 5 ukinunua umeme kwenye mita ya rea utapata unit 41 hivi,wakat katika mita ingine kwa elfu 5 iyo unapata unit 14, sijui kama nimekupa muongozo mkuu
Sio kweli kuna tofauti kati ya mita na mita, na hili tanesco wanatakiwa walifanyie kazi, nyumba niliyokuwa nakaa mwanzo nilikuwa natumia kati ya elfu 40 mpaka 50, hapa nilipohamia ni elfu 15 tu kwa mwezi, na vifaa vinavyotumia umeme vimeongezeka
 
Tanesco wanapaswa kuelimisha watu zaidi, watu waelewe mita ni kufaa cha kusomea kiwango cha matumizi ya umeme ama maji.

Mtu kusema mita ya tanesco inakula umeme ni sawa na kusema mita ya dawasco/dawasa imekunywa maji yote, ni jambo lisilowezekana mita kunywa maji ama kula umeme.

Nishati yoyote iwe ya maji ama umeme ama mafuta ili iishe ni lazima iwe imetumika.

Ni sawa na kusema umejaza gari mafuta full tank halafu ukaipaki wiki nzima halafu siku unaiwasha unakuta hakuna mafuta, gari imekunywa mafuta, hili jambo haliwezekani. Ni lazima eitha gari ilitembea ama mtu alikuja akanyonya mafuta ama kuna leakage kwenye tank yakamwagika chini ila gari tu imepaki halafu mafuta yaishe haiwezekani.

Hua nikisikia mtu ambae ameenda shule kabisa anasema mita inakula umeme nasikitika sana. Wakati mwingine hua natoka kwenda chooni ama pembeni kulia kidogo kupunguza machungu 😂
Sawa mjuzi
 
Back
Top Bottom