DOKEZO Mitaa ya Daraja Mbili - Arusha kuna uhalifu kiasi kwamba hata Sungusungu nao wanaogopa kulinda

DOKEZO Mitaa ya Daraja Mbili - Arusha kuna uhalifu kiasi kwamba hata Sungusungu nao wanaogopa kulinda

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Huku mtaani kwetu Kata ya Daraja Mbili pande za Arusha tuna changamoto ya uhalifu, yaani imefikia hatua hata Ulinzi Shirikishi wenyewe ambao wanajuliakana pia kwa jina la Sungudungu nao wanaogopa kulinda.

Inapofikia hatua ukaona hata Sungusungu wenyewe wamesanda ujue hapo mambo si mambo.

Kuna matukio kadhaa ya watu kupoteza maisha katika mzingira ambayo hata sisi wenyeji hatuyaelewi.

Serikali ije itusaidie huku, mambo si mambo la sivyo tujajikuta tunahama Mkoa.


===========


DIWANI AKIRI KUWA HALI NI MBAYA
JamiiForums imewasiliana na Diwani wa Kata ya Daraja Mbili, Prosper Msofe ambaye amekiri uwepo wa changamoto hiyo kwa kusema:

Ni kweli kuna changamoto kubwa sana ya uhalifu kiasi kwamba hii ni kama sio sehemu ya Tanzania tunayoijua na sababu kubwa ni kutokana na umasikini wa kiwango cha juu uliopo katika Kata hii.

Kwanza kuna unywaji na uuzwaji wa Pombe nyingi za kienyeji, wakazi wengi wa huku hasa vijana hawana ajira na wanategemea wapate fedha wakalewe, hivyo hali hiyo inachangia ongezeko la uhalifu wa mara kwa mara.

Neweza kusema mimi ndiye Diwani ambaye nina Kata yenye uhalifu mwingi kuliko wote Tanzania, hata leo hii nazungumza na wewe muda huu (Mei 27, 2024) kuna kijana ambaye ameuawa na tupo msibani.

Pia pembeni yangu kna vijana wanakunye pombe na bado ni asubuhi unaweza kupata picha mazingira yalivyo.

Nimeshatoa taarifa mara kadhaa Jeshi la Polisi lakini hakuna msaada wa kutosha, kuna wakati Polisi waliahidi kuweka Askari kila mtaa kulinda na kuzuia changamoto za uhalifu, lakini badala yake hao Askari wawaka wanapita tu kisha wanaondoka.

Hakuna msaada wa Jeshi la Polisi wa uhakika, nimemfikishia RPC taarifa lakini sijapata mrejesho, hata kuhusu mauaji haya yanayoendelea nimeshamfikishia taarifa kwa njia ya ujumbe wa SMS hajanijibu na nikapiga simu haikupokelewa.

Huku kwetu uuzwaji wa bangi unafanyika hadharani, hata Wananchi ambao wanatakiwa kujitokeza kulinda usiku kama Sungusungu nao hawalindi kwa kuwa wanahofia usalama wao, matokeo yake wanaochaguliwa kulinda ni Wahalifu pia.

Naomba ujumbe huu umfikie Mkuu wa Mkoa wa Arusha na Rais Samia, watusaidie Kata ya Daraja Mbili, hali ni mbaya katika suala la usalama.
 
Mwaka 2020 baada ya kufika Arusha nikaona nimcheki jamaa yangu aliyekuwa na geto hayo maeneo ya daraja mbili kutokana bei kubwa ya lodge!

Jamaa baada ya kunipokea akatoka kidogo kwamba akauchukue vitu aje apike mara naona muda unaenda harudi nikampigia simu haipokelewi, ikanibidi niwe mpole!

Baada ya muda jamaa akarudi simu hana na vitu alivyoenda kununua hana, namuuliza vipi mbona umekewia?!

Akasema wamemkaba njiani wameondoka na simu pamoja na hela za kuhemea😂😂

Kwa kumuonea huruma ikabidi mm mgeni nitoe pesa ili tule.!
 
Huku mtaani kwetu Kata ya Daraja Mbili pande za Arusha tuna changamoto ya uhalifu, yaani imefikia hatua hata Ulinzi Shirikishi wenyewe ambao wanajuliakana pia kwa jina la Sungudungu nao wanaogopa kulinda.

Inapofikia hatua ukaona hata Sungusungu wenyewe wamesanda ujue hapo mambo si mambo.

Kuna matukio kadhaa ya watu kupoteza maisha katika mzingira ambayo hata sisi wenyeji hatuyaelewi.

Serikali ije itusaidie huku, mambo si mambo la sivyo tujajikuta tunahama Mkoa.


===========


DIWANI AKIRI KUWA HALI NI MBAYA
JamiiForums imewasiliana na Diwani wa Kata ya Daraja Mbili, Prosper Msofe ambaye amekiri uwepo wa changamoto hiyo kwa kusema:

Ni kweli kuna changamoto kubwa sana ya uhalifu kiasi kwamba hii ni kama sio sehemu ya Tanzania tunayoijua na sababu kubwa ni kutokana na umasikini wa kiwango cha juu uliopo katika Kata hii.

Kwanza kuna unywaji na uuzwaji wa Pombe nyingi za kienyeji, wakazi wengi wa huku hasa vijana hawana ajira na wanategemea wapate fedha wakalewe, hivyo hali hiyo inachangia ongezeko la uhalifu wa mara kwa mara.

Neweza kusema mimi ndiye Diwani ambaye nina Kata yenye uhalifu mwingi kuliko wote Tanzania, hata leo hii nazungumza na wewe muda huu (Mei 27, 2024) kuna kijana ambaye ameuawa na tupo msibani.

Pia pembeni yangu kna vijana wanakunye pombe na bado ni asubuhi unaweza kupata picha mazingira yalivyo.

Nimeshatoa taarifa mara kadhaa Jeshi la Polisi lakini hakuna msaada wa kutosha, kuna wakati Polisi waliahidi kuweka Askari kila mtaa kulinda na kuzuia changamoto za uhalifu, lakini badala yake hao Askari wawaka wanapita tu kisha wanaondoka.

Hakuna msaada wa Jeshi la Polisi wa uhakika, nimemfikishia RPC taarifa lakini sijapata mrejesho, hata kuhusu mauaji haya yanayoendelea nimeshamfikishia taarifa kwa njia ya ujumbe wa SMS hajanijibu na nikapiga simu haikupokelewa.

Huku kwetu uuzwaji wa bangi unafanyika hadharani, hata Wananchi ambao wanatakiwa kujitokeza kulinda usiku kama Sungusungu nao hawalindi kwa kuwa wanahofia usalama wao, matokeo yake wanaochaguliwa kulinda ni Wahalifu pia.

Naomba ujumbe huu umfikie Mkuu wa Mkoa wa Arusha na Rais Samia, watusaidie Kata ya Daraja Mbili, hali ni mbaya katika suala la usalama.
Huku mtaani kwetu Kata ya Daraja Mbili pande za Arusha tuna changamoto ya uhalifu, yaani imefikia hatua hata Ulinzi Shirikishi wenyewe ambao wanajuliakana pia kwa jina la Sungudungu nao wanaogopa kulinda.

Inapofikia hatua ukaona hata Sungusungu wenyewe wamesanda ujue hapo mambo si mambo.

Kuna matukio kadhaa ya watu kupoteza maisha katika mzingira ambayo hata sisi wenyeji hatuyaelewi.

Serikali ije itusaidie huku, mambo si mambo la sivyo tujajikuta tunahama Mkoa.


===========


DIWANI AKIRI KUWA HALI NI MBAYA
JamiiForums imewasiliana na Diwani wa Kata ya Daraja Mbili, Prosper Msofe ambaye amekiri uwepo wa changamoto hiyo kwa kusema:

Ni kweli kuna changamoto kubwa sana ya uhalifu kiasi kwamba hii ni kama sio sehemu ya Tanzania tunayoijua na sababu kubwa ni kutokana na umasikini wa kiwango cha juu uliopo katika Kata hii.

Kwanza kuna unywaji na uuzwaji wa Pombe nyingi za kienyeji, wakazi wengi wa huku hasa vijana hawana ajira na wanategemea wapate fedha wakalewe, hivyo hali hiyo inachangia ongezeko la uhalifu wa mara kwa mara.

Neweza kusema mimi ndiye Diwani ambaye nina Kata yenye uhalifu mwingi kuliko wote Tanzania, hata leo hii nazungumza na wewe muda huu (Mei 27, 2024) kuna kijana ambaye ameuawa na tupo msibani.

Pia pembeni yangu kna vijana wanakunye pombe na bado ni asubuhi unaweza kupata picha mazingira yalivyo.

Nimeshatoa taarifa mara kadhaa Jeshi la Polisi lakini hakuna msaada wa kutosha, kuna wakati Polisi waliahidi kuweka Askari kila mtaa kulinda na kuzuia changamoto za uhalifu, lakini badala yake hao Askari wawaka wanapita tu kisha wanaondoka.

Hakuna msaada wa Jeshi la Polisi wa uhakika, nimemfikishia RPC taarifa lakini sijapata mrejesho, hata kuhusu mauaji haya yanayoendelea nimeshamfikishia taarifa kwa njia ya ujumbe wa SMS hajanijibu na nikapiga simu haikupokelewa.

Huku kwetu uuzwaji wa bangi unafanyika hadharani, hata Wananchi ambao wanatakiwa kujitokeza kulinda usiku kama Sungusungu nao hawalindi kwa kuwa wanahofia usalama wao, matokeo yake wanaochaguliwa kulinda ni Wahalifu pia.

Naomba ujumbe huu umfikie Mkuu wa Mkoa wa Arusha na Rais Samia, watusaidie Kata ya Daraja Mbili, hali ni mbaya katika suala la usalama.
Mwaka 2022 nilisafiri kwenda Arusha nikitokea mkoa nilosomea chuo.

Sasa siku naondoka kurudi home nikafika kituo cha daladala ili nisogee pale stand nipande bus nisepe.
Kuna jamaa alijitokeza akanipokea begi alionekana kuwa ni wale wapiga debe. Eeeh bwana eh kumbe jamaa alikuwa ni muhuni.

Jamaa alikuwa yupo mita moja mbe yangu mm nipo nyuma yake, mara ghafla akaanza kuongeza spid namm nikamgundua mapema nikaongeza spid namm. Jamaa alivoona namm nimeongoza spid akaongeza zaid namm tena nikaongeza spid nikamentein ile distance hata ikapungua mpka nusu mita hivi.

Jamaa alivoona anakwama mbinu yake akabinu mbuni mpya akaanza kunipitisha katikati ya wahuni ili wanizubaishe yeye anipotee.
Niligundua pia, wahuni walikuwa wanasogeza mikono ili wanisachi mifukoni wabebe pesa na cm mimi nikawa natembea kama napiga kwata yani nilikunja ngumi nikawa napiga hatua huku narusha mikono kwa nguvu kwahyo wale wahuni walokuwa wanaelekeza mikono yao mifukoni kwangu walikuwa wanakutana na ngumi nzito nzito wanarudisha mikono yao bila kupata kitu.

Jamaa alivoona napangua kila mbunu alizozibinu basi akarusha beg langu kuelekea niliko nikaliwahi nikalidaka kwasababu kulikuwa na laptop ingepasuka.
Nikasepa zangu mpka stand nikaendelelea na safar yangu. Toka siku ile nilianza kuwaona watu wa chuga wanajisifia ujinga tu wahuni mavi
 
Mwaka 2022 nilisafiri kwenda Arusha nikitokea mkoa nilosomea chuo.

Sasa siku naondoka kurudi home nikafika kituo cha daladala ili nisogee pale stand nipande bus nisepe.
Kuna jamaa alijitokeza akanipokea begi alionekana kuwa ni wale wapiga debe. Eeeh bwana eh kumbe jamaa alikuwa ni muhuni.

Jamaa alikuwa yupo mita moja mbe yangu mm nipo nyuma yake, mara ghafla akaanza kuongeza spid namm nikamgundua mapema nikaongeza spid namm. Jamaa alivoona namm nimeongoza spid akaongeza zaid namm tena nikaongeza spid nikamentein ile distance hata ikapungua mpka nusu mita hivi.

Jamaa alivoona anakwama mbinu yake akabinu mbuni mpya akaanza kunipitisha katikati ya wahuni ili wanizubaishe yeye anipotee.
Niligundua pia, wahuni walikuwa wanasogeza mikono ili wanisachi mifukoni wabebe pesa na cm mimi nikawa natembea kama napiga kwata yani nilikunja ngumi nikawa napiga hatua huku narusha mikono kwa nguvu kwahyo wale wahuni walokuwa wanaelekeza mikono yao mifukoni kwangu walikuwa wanakutana na ngumi nzito nzito wanarudisha mikono yao bila kupata kitu.

Jamaa alivoona napangua kila mbunu alizozibinu basi akarusha beg langu kuelekea niliko nikaliwahi nikalidaka kwasababu kulikuwa na laptop ingepasuka.
Nikasepa zangu mpka stand nikaendelelea na safar yangu. Toka siku ile nilianza kuwaona watu wa chuga wanajisifia ujinga tu wahuni mavi
Tea
 
Mwaka 2022 nilisafiri kwenda Arusha nikitokea mkoa nilosomea chuo.

Sasa siku naondoka kurudi home nikafika kituo cha daladala ili nisogee pale stand nipande bus nisepe.
Kuna jamaa alijitokeza akanipokea begi alionekana kuwa ni wale wapiga debe. Eeeh bwana eh kumbe jamaa alikuwa ni muhuni.

Jamaa alikuwa yupo mita moja mbe yangu mm nipo nyuma yake, mara ghafla akaanza kuongeza spid namm nikamgundua mapema nikaongeza spid namm. Jamaa alivoona namm nimeongoza spid akaongeza zaid namm tena nikaongeza spid nikamentein ile distance hata ikapungua mpka nusu mita hivi.

Jamaa alivoona anakwama mbinu yake akabinu mbuni mpya akaanza kunipitisha katikati ya wahuni ili wanizubaishe yeye anipotee.
Niligundua pia, wahuni walikuwa wanasogeza mikono ili wanisachi mifukoni wabebe pesa na cm mimi nikawa natembea kama napiga kwata yani nilikunja ngumi nikawa napiga hatua huku narusha mikono kwa nguvu kwahyo wale wahuni walokuwa wanaelekeza mikono yao mifukoni kwangu walikuwa wanakutana na ngumi nzito nzito wanarudisha mikono yao bila kupata kitu.

Jamaa alivoona napangua kila mbunu alizozibinu basi akarusha beg langu kuelekea niliko nikaliwahi nikalidaka kwasababu kulikuwa na laptop ingepasuka.
Nikasepa zangu mpka stand nikaendelelea na safar yangu. Toka siku ile nilianza kuwaona watu wa chuga wanajisifia ujinga tu wahuni mavi
Unatokea pori gani ?
 
Mwaka 2022 nilisafiri kwenda Arusha nikitokea mkoa nilosomea chuo.

Sasa siku naondoka kurudi home nikafika kituo cha daladala ili nisogee pale stand nipande bus nisepe.
Kuna jamaa alijitokeza akanipokea begi alionekana kuwa ni wale wapiga debe. Eeeh bwana eh kumbe jamaa alikuwa ni muhuni.

Jamaa alikuwa yupo mita moja mbe yangu mm nipo nyuma yake, mara ghafla akaanza kuongeza spid namm nikamgundua mapema nikaongeza spid namm. Jamaa alivoona namm nimeongoza spid akaongeza zaid namm tena nikaongeza spid nikamentein ile distance hata ikapungua mpka nusu mita hivi.

Jamaa alivoona anakwama mbinu yake akabinu mbuni mpya akaanza kunipitisha katikati ya wahuni ili wanizubaishe yeye anipotee.
Niligundua pia, wahuni walikuwa wanasogeza mikono ili wanisachi mifukoni wabebe pesa na cm mimi nikawa natembea kama napiga kwata yani nilikunja ngumi nikawa napiga hatua huku narusha mikono kwa nguvu kwahyo wale wahuni walokuwa wanaelekeza mikono yao mifukoni kwangu walikuwa wanakutana na ngumi nzito nzito wanarudisha mikono yao bila kupata kitu.

Jamaa alivoona napangua kila mbunu alizozibinu basi akarusha beg langu kuelekea niliko nikaliwahi nikalidaka kwasababu kulikuwa na laptop ingepasuka.
Nikasepa zangu mpka stand nikaendelelea na safar yangu. Toka siku ile nilianza kuwaona watu wa chuga wanajisifia ujinga tu wahuni mavi
Chai
 
Back
Top Bottom