😃😃😃 alikua hajui mko na huku jamviniMbona mnaanza chokochoko unataka hapo gomz tuanze kufunua sufuria tuwaibie mboga tunyee nguo mlizo anika ndio mtatuheshimu ?
Hajui huyu[emoji2][emoji2][emoji2] alikua hajui mko na huku jamvini
Pande ndio ukoo wao ulipo wanaishi na chief waoKwa wakazi wa Gongo la Mboto mitaa ya Mzambarauni kuna kunguru wengi sana kila siku jioni huwa wanakusanyika wakitoka kwenye mahangaiko ya kila siku sasa sijajua kama wakazi wa Gomz wanafuga kunguru hawa au wameamua tu kuchangua pale ndo pawe makao makuu kwa upande wa Ilala.
Kwa wakazi wa Gongo la Mboto mitaa ya Mzambarauni kuna kunguru wengi sana kila siku jioni huwa wanakusanyika wakitoka kwenye mahangaiko ya kila siku sasa sijajua kama wakazi wa Gomz wanafuga kunguru hawa au wameamua tu kuchangua pale ndo pawe makao makuu kwa upande wa Ilala.
🤣🤣🤣🤣🤣Mbona mnaanza chokochoko unataka hapo gomz tuanze kufunua sufuria tuwaibie mboga tunyee nguo mlizo anika ndio mtatuheshimu ?
Kunguru walitokea wapi?sio ndege wa asiliKwa wakazi wa Gongo la Mboto mitaa ya Mzambarauni kuna kunguru wengi sana kila siku jioni huwa wanakusanyika wakitoka kwenye mahangaiko ya kila siku sasa sijajua kama wakazi wa Gomz wanafuga kunguru hawa au wameamua tu kuchangua pale ndo pawe makao makuu kwa upande wa Ilala.
Hata pale maskani wanapouza bangi kwenye mfereji karibu na shule ya msingi kikundi kuna miti mikubwa mingi hadi popo wapoIkulu ya Kunguru Tanzania ipo Morogoro kwenye miembe iliyopo kuanzia ule mtaa wa Msikiti wa Karume kupanda juu hadi ofisi ya CCM pandisha na Boma yote.