Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 6,053
- 10,032
Yaani hili eneo, acha tu
Sijui ni kwa sababu ya uwingi wa magorofa marefu yenye kufanana
Mimi hadi leo napata tabu kukariri mitaa (with exception of few of them)
Lakini hii mingine acha tu. Yaani unaweza kuzunguka unaitafuta kongo unajikuta Lumumba 🤣🤣
Vipi, ushawahi kupigwa knockout na hii mitaa?
Au wewe ni mutoto wa mujini
Uzi tyr
Sijui ni kwa sababu ya uwingi wa magorofa marefu yenye kufanana
Mimi hadi leo napata tabu kukariri mitaa (with exception of few of them)
Lakini hii mingine acha tu. Yaani unaweza kuzunguka unaitafuta kongo unajikuta Lumumba 🤣🤣
Vipi, ushawahi kupigwa knockout na hii mitaa?
Au wewe ni mutoto wa mujini
Uzi tyr