Mitaala mibovu na chakavu ya elimu yetu ndicho chanzo cha kuzalisha Panya Road

Mitaala mibovu na chakavu ya elimu yetu ndicho chanzo cha kuzalisha Panya Road

mpaka nimeleta mada apa jukwaani nimeshaifanyia research ivi vitoto vipanya road ni below 22 ambao wengi wao ni awa wanaomaliza form4 kwenye izi shule za kata na wengine ni wale waliofeli darasa la saba etc. mwanafunzi anamaliza shule hana knowledge yoyote inayohusiana na tech au duni inavyoenda yani yupo yupo tu amekalilishwa michoro ya ajabu ajabu ambayo aimsaidii chochote kile
Malezi yao mbona hujachunguza?
 
Mnaposema "Panya Road" ni wahalifu wenye mapanga na silaha zingine za jadi kuwa wamekuwa wahalifu kwa sababu ya "Mitaala" mibovu basi mnamaana wananchi wote wanaosoma katika shule za Serikali ni 'Wahalifu' Kuwa wanachosomea huko ni kubeba silaha na kujifunza uhalifu-yaani matusi makubwa haya kwaJamii, wanafunzi, walimu, Serikali na Wananchi wake- isitoshe Mwafrika.

Hii imekaaje? Mitaala mibovu ya Elimu ndio inazalisha wahalifu?
Hii research ilifanywa wapi??

Wazungu na wawekezaji uchwara hapa nchini ndio Panya kabisa. Kila kukicha ni kutafuta njia za kutuhadaa na kutuibia kwa njia za chini chini, kwa panya road.

Hayo maadili na misamiati ya wazungu msituletee Tanzania yetu.
 
mpaka nimeleta mada apa jukwaani nimeshaifanyia research ivi vitoto vipanya road ni below 22 ambao wengi wao ni awa wanaomaliza form4 kwenye izi shule za kata na wengine ni wale waliofeli darasa la saba etc. mwanafunzi anamaliza shule hana knowledge yoyote inayohusiana na tech au duni inavyoenda yani yupo yupo tu amekalilishwa michoro ya ajabu ajabu ambayo aimsaidii chochote kile
Wapi umefanya hiyo Research???
Wapiiii?
 
Back
Top Bottom