Imkisokiso
New Member
- May 15, 2022
- 3
- 1
Ni wazo langu kwamba Serikali iangalie mitaala yetu Ili kuwafundisha WATOTO maisha halisi Ili warudipo mtaani wasihangaike kutafuta ajira.
Kwa mfano masomo ambayo yamechukua nafasi ya SoMo la sayansikimu ya miaka ya tisini kwa sasa ni butu kabisa kwa sababu WATOTO hawajui hata kufua na kupasi wenyewe.
Kuwe na masomo ya kilimo na ufugaji halisi Ili WATOTO wajifunze kwa vitendo mambo hayo, mambo ya ufundi stadi mbalimbali yafundishwe kianzia mwanzo kabisa Ili kuwajenga WATOTO wangali wadogo ni msingi mzuri kabla ya kwenda vyuo.
Nadhani tukifanya haya na mengine tutaepuka wimbi Hili la kukosa ajira Kila Kona.
Kwa mfano masomo ambayo yamechukua nafasi ya SoMo la sayansikimu ya miaka ya tisini kwa sasa ni butu kabisa kwa sababu WATOTO hawajui hata kufua na kupasi wenyewe.
Kuwe na masomo ya kilimo na ufugaji halisi Ili WATOTO wajifunze kwa vitendo mambo hayo, mambo ya ufundi stadi mbalimbali yafundishwe kianzia mwanzo kabisa Ili kuwajenga WATOTO wangali wadogo ni msingi mzuri kabla ya kwenda vyuo.
Nadhani tukifanya haya na mengine tutaepuka wimbi Hili la kukosa ajira Kila Kona.