Job naye ana faili mirembe,anze kushughulikiwa moja aachie kitiKwa mujibu wa Diallo (mwenyekiti wa ccm mkoa) tulistahili tulioyapitia chini ya JPM. "Tulimchagua" wenyewe huku tukiwa tunajua kuwa ana faili pale mirembe!
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Wakati ule waliunga mkono kwa hilo somo kuongezwa 100%
Viongozi wale wale sasa hivi wanalipinga hilo somo kwa 100%
Si mara ya kwanza zimamoto imeleta hasara kubwa kupitia Taasisi ya Elimu Tanzania.
Taratibu zina faida zake
Katiba mpya hazizuzii kina Magufuli.
Kina Magufuli huwa hawafuati KATIBA.
Hivi jamaa asingeenda zake ingekuwaje!
Hypocrites, viongozi na wapiga zumari wao wote ni punguani.Wakati ule waliunga mkono kwa hilo somo kuongezwa 100%
Viongozi wale wale sasa hivi wanalipinga hilo somo kwa 100%
Upuuzi aliokuwa akiufanya lazima aongelewe bila kukoma ili liwe fundisho kwa wale mbumbumbu ambao hawakuwa na upeo wa kuona ya kuwa alikuwa akiliangamiza taifa, mfichaficha maradhi nadhani unajua matokeo yake.Muache mzee Jpm apumzike...tuongelee yanayotuhusu sisi tuliopo.
[emoji817][emoji3581]Katiba mpya hazizuzii kina Magufuli.
Kina Magufuli huwa hawafuati KATIBA.
Mioyo ya Watanzania gani? hawa wote wanaoanika upuuzi na uzandiki alioifanyia nchi ni raia wa nchi gani?Jamani inatosha. Hiyo legacy ya JPM mnayojaribu kuiua mpaka kwa propaganda haiwezekani. Nasema tena haiwezekani. Kila mtu ana macho na ameona kilichotendeka katika awamu zote. Mnatumia nguvu kubwa sana.
Huyu mtu ameshakufa mwacheni apumzike kwa amani. Kumtoa kwenye mioyo ya watanzania narudia tena haiwezekani.
Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
Huu uozo aliokuwa akifanya ulizidi kikomo, hii inatafakarisha kidogo kwamba kuna uwezekano baada ya kubainika alipokuwa akilipeleka taifa hakufai basi ikaonekana ni bora 'atangulizwe' fasta kwa maslahi mapana ya taifa.Rasmi alikuwa anaenda kuigeuza Tanzania kuwa North Korea ya Afrika. Nina hakika angetoka madarakani baada ya damu nyingi kumwagika. Tumshukuru Mungu kwa kutuondolea yule mtu muovu bila damu kumwagika.
Toa ushahidi za haya madai yako.Nakumbuka yeye alitaka historia ijikite kwenye kuwaenzi Wanahistoria Wazalendo, na historia ya Nchi zaidi kuliko ya huko nje.
Sasa huenda Waandaaji wa hiyo mitaala ndio wakajikita kwenye kujikomba kwa Mkuu.
Nadhani malengo yalikuwa mazuri tu, tumnyonge Mnyonge lakini haki tumpe.
Sielewi hata mantiki ya kumlaumu JPM. Kafa lakini ugumu wa maisha, ukosefu wa ajira uko palepale.Muache mzee Jpm apumzike...tuongelee yanayotuhusu sisi tuliopo.
Sasa unaweza kuona kuwa kuna kitu alikuwa analenga. Haikuwa uraisi tu ilikuwa kama kuanzisha imani mpya. Kuna wengi walianza kumsjudu na kumuogopa na walianza kusema ushuhuda wa uwongo juu ya mtu huyu. Ilikuwa hatari sanaUlikuwa mpango mkakakati wa Mwendazake kuigeuza nchi ya Kidemokrasia kuwa kama familia yake na watu wote wamuabudu yeye.
Asante Mungu hukuruhusu hilo.
Kuongelea kunasaidia kutorudia tena kosaMuache mzee Jpm apumzike...tuongelee yanayotuhusu sisi tuliopo.