Mitaala ya somo la Historia iliyositishwa ilijaa propaganda za kumsifu Magufuli kuwa ni kinara wa mabadiliko nchini

Status
Not open for further replies.
Sawa hakuna shida.
Acha tuendelee na historia hii hii ya kuwadanganya watoto wetu kuwa tuligunduliwa nawazungu. Huku tukiwasifu kina Carl peters na Vasco da gama.
 
Ni kwa sababu wengi hawaelewi mantiki ya katiba inaamzia kwenye familia ambapo baba ni kila kitu hakuna mpango au makubaliano au mwongozo maalumu.
Ndo maana wengi humwangalia rais kama bab/mama.
 

kkoo imeungua usiku nungu nungu,uliishawahi kufika kkoo???
 
Ulikuwa ujinga. Kwa muda mfupi unawekaje content katika levels mbalimbali. Wanaelimu wanaelewa..
 
My take, huyu mzee alikuwa amejipanga kubrainwash watu ili apewe muhula mrefu wa kutawala nchi
Meko alikuwa ni shetani kabisa yule mzee.
Aliiharibu sana nchi, afadhali Mwenyezi Mungu alimchukua mapema maana kama angekuwepo tu mpaka leo sijui tungekuwaa wapi, tulikuwa tunaelekea kuwa kama Cuba au Korea Kaskazini kabisa.
Kujiongezea kinga ya kutoshtakiwa yeye na wahuni wenzake, kujilimbikizia matrillion ya fedha za umma, kujambazi fedha za wafanyabiashara, kujiandalia somo la kumsifia mashuleni, yani huyu mzee kama kuna uwezekano akafufuliwe auawe kwa aibu kwa mara ya pili
 
Mataga vitabu vipo vichukueni mkafundishie watoto wenu..

Ila watoto wa maskini wanalishwa kila uchafu wa kila dekio
 
kkoo imeungua usiku nungu nungu,uliishawahi kufika kkoo???
Umefurahi kutamka nungunungu unajuaje kama niko kariakoo. Usiku ndo nini vibanda vimelizunguka soko. Na je, kariako watu wanakaa hadi saa ngapi? Tukana, jitukane
 
Ndalichako bado ni waziri.

Serikali yote ni batili
 
Umefurahi kutamka nungunungu unajuaje kama niko kariakoo. Usiku ndo nini vibanda vimelizunguka soko. Na je, kariako watu wanakaa hadi saa ngapi? Tukana, jitukane
Unataka picha au video??
 
Unataka kumuelewa Mungu utaweza? Mungu huyo huyo kamchukua Magufuli ila kamuacha Ibilisi hadi leo.
Tusipangiane kuhusu kumuelewa Mungu, we muelewe hivyo na mimi nimemuelewa nilivyo elewa, mi najua Mungu nae ni mwana demokrasia, hakulazimishi kuchagua UPANDE kaka.
 
Tusipangiane kuhusu kumuelewa Mungu, we muelewe hivyo na mimi nimemuelewa nilivyo elewa, mi najua Mungu nae ni mwana demokrasia, hakulazimishi kuchagua UPANDE kaka.
Nani kakwambia Mungu ni mwanademokrasia? Mungu anaamua kufanya lolote alitakalo pasina kupangiwa wala kumhofia yeyote, wewe ushawahi kusikia Mungu kutaka hata ushauri wa mawazo kwa kiumbe yeyote?

Au wewe kabla ya Mungu kukuumba alikushirikisha akuumbaje? huyo Mungu unayemuelewa wewe na mwenyedemokrasia sijui ni Mungu gani.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…