Kasimba G
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 3,428
- 2,612
Wana jamvi wasalaam,
Huku mtaani kwetu ile hoja maarufu iliyodumu takribani miaka mitatu ya kuwa upinzani especially CHADEMA imekufa imejifia na wapambe wa hoja hiyo wameingia hofu.
CCM wanajua sana kula na vipofu, kwa muono wangu nahisi waliitangaza hoja wakijua bwana Fulani hupenda kuskia mambo anayoyapenda yeye, wakaanza kumlia hela na kupewa mavyeo na kila aina ya mavuno.
Sasa bwana Fulani naona kishaanza kuhisi utapeli wa watu wake, hata watu wake wa karibu saana vilevile, nadhani kilichobaki ni kubadili gia angani kama uchaguzi wa Serikali za mitaa. Lakini pia anawasiwasi maana tapeli ni tapeli tuu haaminiki.
Sasa waliodhaniwa wamekufa kumbe ndio wako hai kiukweli na waliodhaniwa wako hai kumbe wako ahera. Nonino wamekufa kabisa kabisa, Hata wanowashabikia wanajua hill, je polisi wataingilia mchezo? Kazi kwao.
Huku mtaani kwetu ile hoja maarufu iliyodumu takribani miaka mitatu ya kuwa upinzani especially CHADEMA imekufa imejifia na wapambe wa hoja hiyo wameingia hofu.
CCM wanajua sana kula na vipofu, kwa muono wangu nahisi waliitangaza hoja wakijua bwana Fulani hupenda kuskia mambo anayoyapenda yeye, wakaanza kumlia hela na kupewa mavyeo na kila aina ya mavuno.
Sasa bwana Fulani naona kishaanza kuhisi utapeli wa watu wake, hata watu wake wa karibu saana vilevile, nadhani kilichobaki ni kubadili gia angani kama uchaguzi wa Serikali za mitaa. Lakini pia anawasiwasi maana tapeli ni tapeli tuu haaminiki.
Sasa waliodhaniwa wamekufa kumbe ndio wako hai kiukweli na waliodhaniwa wako hai kumbe wako ahera. Nonino wamekufa kabisa kabisa, Hata wanowashabikia wanajua hill, je polisi wataingilia mchezo? Kazi kwao.