Mitambo ya Dowans imenunuliwa lini na Tanesco?

Mitambo ya Dowans imenunuliwa lini na Tanesco?

Magezi

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2008
Posts
3,359
Reaction score
702
Ndugu wanaJF juzi niliingia ndani ya compaund ya Tanesco pale ubungo nilikuwa na shidaya kumuona jamaa mmoja kwa masuala fulani lakini nilishangaa kukuta mitambo ya Dowans inafanya kazi nilimuuliza vipi mbona haya majenereta yanafanya kazi akasema "ah.... we acha tu...".

Ndugu zangu mwenye details za mauziano anisaidie kunielewesha kidogo kulikoni?
 
Kutokana na sheria za manunuzi za huko Tanzania, haziruhusu Serikali kununua vitu vilivyokwisha tumika (mitumba).

sasa sijui kama wamevunja hilo.
 
Kama hizi habari ni za kweli haishangazi -- kwani utawala wa CCM si unajulikana dunia nzima kwa kufanya maamuzi kinyume cha sheria kitu ambacho tafsiri yake ni uharamia na kutozingatia utawala bora?
 
Labda RA alimwambia JK nunua -- la sivyo nita-spill the beans kwa kutoa data kuhusu Kagoda kwamba tulikuwa pamoja katika dili nzima. Jamaa akanywea, akanunua. Katika hili ni rahisi mno ku-armtwist.
 
Ndugu wanaJF juzi niliingia ndani ya compaund ya Tanesco pale ubungo nilikuwa na shidaya kumuona jamaa mmoja kwa masuala fulani lakini nilishangaa kukuta mitambo ya Dowans inafanya kazi nilimuuliza vipi mbona haya majenereta yanafanya kazi akasema "ah.... we acha tu...".

Ndugu zangu mwenye details za mauziano anisaidie kunielewesha kidogo kulikoni?

Ingekuwa ni vyema ungekuja na ushahidi hapa kuliko sisi tuamini kile unachosema. Weka ushahidi kwanza ndipo watu waanze kudondosha facts.
 
Mwandishi ni mchochezi tuu na hasa ni mchekeshaji!
 
Mambo ya hapa jamvini hasa haya makubwa kiasi hiki tunahitaji data. Hebu weka scanned document ya mkataba wa mauziano au hata meeting minutes ambayo ilibariki tendo hilo itasaidia mkuu.
 
Kutokana na sheria za manunuzi za huko Tanzania, haziruhusu Serikali kununua vitu vilivyokwisha tumika (mitumba).

sasa sijui kama wamevunja hilo.
sheria haikatazi kununua second hand equipment ambazo ni muhimu kwa taifa...

kwanza serikali ni nani na dowans ni nani...uhusiano wao unaruhusu kufanya deal yeyotee...

nashangaa tunailalamikia mitamboo wakati tuliahidiwaa mapema kwamba lazima itatupunguzia lile tatizo la umeme lililotokana na ukame..
 
Inaweza pia kuwa ni Generator ya kawaida tu ilikuwa imewashwa na wala si mitambo ya Dowans!
 
Ingekuwa ni vyema ungekuja na ushahidi hapa kuliko sisi tuamini kile unachosema. Weka ushahidi kwanza ndipo watu waanze kudondosha facts.

Watu wengine Matomaso aweke ushahidi gani wkt kaona jenereta zinaunguruma au aende arekodi muungurumo huo wa majenereta aulete hapa ndo muamini?
 
Tangia mwanzo serikali ilionesha nia ya kununua mitambo hiyo kelele zilipopigwa sana wakaogopa dowans ni moto mbaya na ni mitambo ya wakubwa fulani so kuna uwezekano serikali imepita mlango wa nyuma na kununua mitambo hiyo ili kuwaridhisha wafadhili ra na el
 
Haya mambo serikali ya Kikwete haitaki yajadiliwe. Ndio maana siku za karibuni wapambe wa Kikwete na vyombo vya habari vimekuwa vinajadili sana masuala ya migongano ya kidini ili kuhamisha focus.

Kikwete anaipeleka Tanzania kubaya sana.
 
labda ra alimwambia jk nunua -- la sivyo nita-spill the beans kwa kutoa data kuhusu kagoda kwamba tulikuwa pamoja katika dili nzima. Jamaa akanywea, akanunua. Katika hili ni rahisi mno ku-armtwist.

bado generator zipo, walichofanya na wanachotaka kufanya, serikali ya tanesco/nishati wametoa tender ya kununua 100 mw kwa $120mllion badala ya $50million bei halisi mpaka kufungwa na kuwashwa kwenye site.
Kuna kampuni moja ambayo ni mjomba wa richmond na dowan inaitwa noor oil, imepeleka tender hapo tanesco, hii kampuni siyo watengenezaji wa hii mitambo, wanachotaka kufanya, ni kununua hiyo 100mw toka kwa watengenezaji kwa $50-60million na kuuzia serikali $120million, $60million zitaingia kwenye kufidia hiyo ya dowani na kiasi kingine kinaenda kw akina idrisa/waziri/ na wanasiasa wengine ambao watajitoa mhanga kutetea huo wizi

kikwete ana kazi nzito sana.
 
Ndugu wanaJF juzi niliingia ndani ya compaund ya Tanesco pale ubungo nilikuwa na shidaya kumuona jamaa mmoja kwa masuala fulani...
Kwa malezo yako haya inaonyesha kuwa ulikwenda pale Tanesco makao makuu. Kama ni hivyo utakuwa umeona kitu kingine. Mitambo ya Doawans haipo pale kaibu na jengo la makao makuu, iliyopo pale karibu, ambayo inafanya kazi ni mali ya Tanesco yenyewe na ilizinduliwa miezi kadhaa iliyopita na JK
 
Kwa malezo yako haya inaonyesha kuwa ulikwenda pale Tanesco makao makuu. Kama ni hivyo utakuwa umeona kitu kingine. Mitambo ya Doawans haipo pale kaibu na jengo la makao makuu, iliyopo pale karibu, ambayo inafanya kazi ni mali ya Tanesco yenyewe na ilizinduliwa miezi kadhaa iliyopita na JK

Sasa mkuu, hiyo mitambo ya Dowans iko wapi?
 
.....lakini nilishangaa kukuta mitambo ya Dowans inafanya kazi nilimuuliza vipi mbona haya majenereta yanafanya kazi akasema "ah.... we acha tu...".

Kapate taarifa zaidi kwa yule uliyemtembelea ambaye naye inaonekana amekata tamaa utuhabarishe zaidi.
 
bado generator zipo, walichofanya na wanachotaka kufanya, serikali ya tanesco/nishati wametoa tender ya kununua 100 mw kwa $120mllion badala ya $50million bei halisi mpaka kufungwa na kuwashwa kwenye site.
Kuna kampuni moja ambayo ni mjomba wa richmond na dowan inaitwa noor oil, imepeleka tender hapo tanesco, hii kampuni siyo watengenezaji wa hii mitambo, wanachotaka kufanya, ni kununua hiyo 100mw toka kwa watengenezaji kwa $50-60million na kuuzia serikali $120million, $60million zitaingia kwenye kufidia hiyo ya dowani na kiasi kingine kinaenda kw akina idrisa/waziri/ na wanasiasa wengine ambao watajitoa mhanga kutetea huo wizi

kikwete ana kazi nzito sana.

MKUU KAMA HILI NI KWELI LA HIYO KAMPUNI YA noor oil UFISADI MWINGINE ,TUTAPAMBANA NA TANESCO KABLA SAMAKI HAJAWA MKAVU.WAKUU TUKAE TAYARI.
 
bado generator zipo, walichofanya na wanachotaka kufanya, serikali ya tanesco/nishati wametoa tender ya kununua 100 mw kwa $120mllion badala ya $50million bei halisi mpaka kufungwa na kuwashwa kwenye site.
Kuna kampuni moja ambayo ni mjomba wa richmond na dowan inaitwa noor oil, imepeleka tender hapo tanesco, hii kampuni siyo watengenezaji wa hii mitambo, wanachotaka kufanya, ni kununua hiyo 100mw toka kwa watengenezaji kwa $50-60million na kuuzia serikali $120million, $60million zitaingia kwenye kufidia hiyo ya dowani na kiasi kingine kinaenda kw akina idrisa/waziri/ na wanasiasa wengine ambao watajitoa mhanga kutetea huo wizi
kikwete ana kazi nzito sana.
kAAAAAZI KWELIKWELI.je hii ndo website yao?au ni wengine

Refinery & Pipelines - Home
 
Inaweza pia kuwa ni Generator ya kawaida tu ilikuwa imewashwa na wala si mitambo ya Dowans!
Lakini kwa nini yule mtaalam alipoulizwa "mbona haya majenereta yanafanya kazi?" akajibu ..."aah..we acha tu.." kuna dalili za ukweli katika hili muhimu ni kufuatilia.
 
Back
Top Bottom