Hiyo ni kawaida kama sheria hapa kwetu..tunasubiri Major Failure ndo waziri aende pale waanze kufurushana.
Si unaona hata transformer za akiba(Emergeny) hawaweki mpaka waagize.na mgao ukiisha yale mafuta ya IPTL yanayeyuka,Mgao ukirudi wanakuwa hawana mafuta mpaka meli itie nanga tena hapo
Hiyo ndio TZ bila Nyerere!!