Uchaguzi 2020 Mitambo ya ushindi ya Dkt. Bashiru Alli yalipuka huko Tunduma

Uchaguzi 2020 Mitambo ya ushindi ya Dkt. Bashiru Alli yalipuka huko Tunduma

Lu-ma-ga

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2010
Posts
4,780
Reaction score
3,227
Kabla ya kuanza kampeni za uchaguzi Tanzania, Comrade Bashiru Ali a.k.a Mchuuzi wa ndizi aliwaonya wapinzani wao kwamba tayari alikuwa katika harakati za kisayansi ya siasa za kusimika MITAMBO ya ushindi wa kishindo. Inaonekana wapinzani wa ccm hawakumuelewa, sasa kwa kilichotokea Tunduma, Songwe na Mbeya wanapaswa kujua na kujitambua kwamba sasa MITAMBO inaanza kulipuka na kutakuwa na casualties wengi sana kisiasa.

Chadema centre zenu za huko Mbeya na songwe hasa kambi yenu kuu pale Tunduma tayari hali ni dhooofu, Tunduma inaelekea kuwa ya kijanI KIBICHI KABISA na hilo liko wazi . Comrade Simba (SILINDE) jana alipewa assignment ya kumalizia masalia.

Camrade Bashiru jana alikuwa centre ya mashariki akiangalia kitufe cha mtambo kama kimekaa sawa, siku mbili zijazo button nyingine itaponyezwa na mshindo mkuu Zaidi ya Tunduma unategemewa kusikika.

Sasa ni dhahiri kuwa mitambo ya ushindi sasa iko mkao wa kulipuka na madhara yake ni kwa Comrade, ndugu, John Pombe Joseph Magufuli(Ng’wanasusana) kuibuka na ushindi mnono wa 90-95%.

Maendeleo hayana chama ewe mwanachi hapo tarehe 28/10, piga kura yako kwa ndugu, John Pombe Joseph Magufuli
 
The conduct of the upcoming elections in Tanzania has important consequences not only for Tanzania, but for the entire East African region. Tanzania’s history of peaceful multi-party elections stretching back 25 years has made it a model on the continent.

The United States government reaffirms unequivocally that it does not support any specific candidate or party in Tanzania’s upcoming elections. The United States supports the democratic process itself. We support a genuinely free, fair, transparent, and peaceful electoral process, before, during, and after election day. This includes ensuring the safety of all contestants, respect for the rule of law, and the absolute impartiality of the authorities in charge of managing the elections.

The United States, along with other democratic nations, will be paying close attention to actions of individuals who interfere in the democratic process or instigate violence against the civilian population before, during, or after the elections. We will not hesitate to consider consequences for those found to be responsible for election-related violence or undermining the democratic process.

We welcome the calls by the leading candidates for a peaceful and transparent electoral process, and we urge them and their supporters to take measures to decrease tensions and avoid inciteful rhetoric.

By U.S. Embassy Dar es Salaam | 1 October, 2020 | Topics: Press Releases
 
Kabla ya kuanza kampeni za uchaguzi Tanzania, Comrade Bashiru Ali a.k.a Mchuuzi wa ndizi aliwaonya wapinzani wao kwamba tayari alikuwa katika harakati za kisayansi ya siasa za kusimika MITAMBO ya ushindi wa kishindo. Inaonekana wapinzani wa ccm hawakumuelewa, sasa kwa kilichotokea Tunduma, Songwe na Mbeya wanapaswa kujua na kujitambua kwamba sasa MITAMBO inaanza kulipuka na kutakuwa na casualties wengi sana kisiasa.

Chadema centre zenu za huko Mbeya na songwe hasa kambi yenu kuu pale Tunduma tayari hali ni dhooofu, Tunduma inaelekea kuwa ya kijanI KIBICHI KABISA na hilo liko wazi . Comrade Simba (SILINDE) jana alipewa assignment ya kumalizia masalia.

Camrade Bashiru jana alikuwa centre ya mashariki akiangalia kitufe cha mtambo kama kimekaa sawa, siku mbili zijazo button nyingine itaponyezwa na mshindo mkuu Zaidi ya Tunduma unategemewa kusikika.

Sasa ni dhahiri kuwa mitambo ya ushindi sasa iko mkao wa kulipuka na madhara yake ni kwa Comrade, ndugu, John Pombe Joseph Magufuli(Ng’wanasusana) kuibuka na ushindi mnono wa 90-95%.

Maendeleo hayana chama ewe mwanachi hapo tarehe 28/10, piga kura yako kwa ndugu, John Pombe Joseph Magufuli
Endelea kuota mkuu! Sisi wakazi wa huku ndio tunaelewa, Wewe huijui Mbeya & Tunduma vizuri, Tulia na subiri Oct 28 ndipo utakaposhangaa hicho kijani unachokiona kinageuka majani makavu...
 
Kabla ya kuanza kampeni za uchaguzi Tanzania, Comrade Bashiru Ali a.k.a Mchuuzi wa ndizi aliwaonya wapinzani wao kwamba tayari alikuwa katika harakati za kisayansi ya siasa za kusimika MITAMBO ya ushindi wa kishindo. Inaonekana wapinzani wa ccm hawakumuelewa, sasa kwa kilichotokea Tunduma, Songwe na Mbeya wanapaswa kujua na kujitambua kwamba sasa MITAMBO inaanza kulipuka na kutakuwa na casualties wengi sana kisiasa.

Chadema centre zenu za huko Mbeya na songwe hasa kambi yenu kuu pale Tunduma tayari hali ni dhooofu, Tunduma inaelekea kuwa ya kijanI KIBICHI KABISA na hilo liko wazi . Comrade Simba (SILINDE) jana alipewa assignment ya kumalizia masalia.

Camrade Bashiru jana alikuwa centre ya mashariki akiangalia kitufe cha mtambo kama kimekaa sawa, siku mbili zijazo button nyingine itaponyezwa na mshindo mkuu Zaidi ya Tunduma unategemewa kusikika.

Sasa ni dhahiri kuwa mitambo ya ushindi sasa iko mkao wa kulipuka na madhara yake ni kwa Comrade, ndugu, John Pombe Joseph Magufuli(Ng’wanasusana) kuibuka na ushindi mnono wa 90-95%.

Maendeleo hayana chama ewe mwanachi hapo tarehe 28/10, piga kura yako kwa ndugu, John Pombe Joseph Magufuli
Ni ndoto kubwa hii.
 
Kabla ya kuanza kampeni za uchaguzi Tanzania, Comrade Bashiru Ali a.k.a Mchuuzi wa ndizi aliwaonya wapinzani wao kwamba tayari alikuwa katika harakati za kisayansi ya siasa za kusimika MITAMBO ya ushindi wa kishindo. Inaonekana wapinzani wa ccm hawakumuelewa, sasa kwa kilichotokea Tunduma, Songwe na Mbeya wanapaswa kujua na kujitambua kwamba sasa MITAMBO inaanza kulipuka na kutakuwa na casualties wengi sana kisiasa.

Chadema centre zenu za huko Mbeya na songwe hasa kambi yenu kuu pale Tunduma tayari hali ni dhooofu, Tunduma inaelekea kuwa ya kijanI KIBICHI KABISA na hilo liko wazi . Comrade Simba (SILINDE) jana alipewa assignment ya kumalizia masalia.

Camrade Bashiru jana alikuwa centre ya mashariki akiangalia kitufe cha mtambo kama kimekaa sawa, siku mbili zijazo button nyingine itaponyezwa na mshindo mkuu Zaidi ya Tunduma unategemewa kusikika.

Sasa ni dhahiri kuwa mitambo ya ushindi sasa iko mkao wa kulipuka na madhara yake ni kwa Comrade, ndugu, John Pombe Joseph Magufuli(Ng’wanasusana) kuibuka na ushindi mnono wa 90-95%.

Maendeleo hayana chama ewe mwanachi hapo tarehe 28/10, piga kura yako kwa ndugu, John Pombe Joseph Magufuli
Huwajui watu wa mbeya silinde hana chake
 
Kabla ya kuanza kampeni za uchaguzi Tanzania, Comrade Bashiru Ali a.k.a Mchuuzi wa ndizi aliwaonya wapinzani wao kwamba tayari alikuwa katika harakati za kisayansi ya siasa za kusimika MITAMBO ya ushindi wa kishindo. Inaonekana wapinzani wa ccm hawakumuelewa, sasa kwa kilichotokea Tunduma, Songwe na Mbeya wanapaswa kujua na kujitambua kwamba sasa MITAMBO inaanza kulipuka na kutakuwa na casualties wengi sana kisiasa.

Chadema centre zenu za huko Mbeya na songwe hasa kambi yenu kuu pale Tunduma tayari hali ni dhooofu, Tunduma inaelekea kuwa ya kijanI KIBICHI KABISA na hilo liko wazi . Comrade Simba (SILINDE) jana alipewa assignment ya kumalizia masalia.

Camrade Bashiru jana alikuwa centre ya mashariki akiangalia kitufe cha mtambo kama kimekaa sawa, siku mbili zijazo button nyingine itaponyezwa na mshindo mkuu Zaidi ya Tunduma unategemewa kusikika.

Sasa ni dhahiri kuwa mitambo ya ushindi sasa iko mkao wa kulipuka na madhara yake ni kwa Comrade, ndugu, John Pombe Joseph Magufuli(Ng’wanasusana) kuibuka na ushindi mnono wa 90-95%.

Maendeleo hayana chama ewe mwanachi hapo tarehe 28/10, piga kura yako kwa ndugu, John Pombe Joseph Magufuli
Kuna watu wachache bado wanabishia hili na watapata wanachohitaji
Ccm mitano tena
 
Kabla ya kuanza kampeni za uchaguzi Tanzania, Comrade Bashiru Ali a.k.a Mchuuzi wa ndizi aliwaonya wapinzani wao kwamba tayari alikuwa katika harakati za kisayansi ya siasa za kusimika MITAMBO ya ushindi wa kishindo. Inaonekana wapinzani wa ccm hawakumuelewa, sasa kwa kilichotokea Tunduma, Songwe na Mbeya wanapaswa kujua na kujitambua kwamba sasa MITAMBO inaanza kulipuka na kutakuwa na casualties wengi sana kisiasa.

Chadema centre zenu za huko Mbeya na songwe hasa kambi yenu kuu pale Tunduma tayari hali ni dhooofu, Tunduma inaelekea kuwa ya kijanI KIBICHI KABISA na hilo liko wazi . Comrade Simba (SILINDE) jana alipewa assignment ya kumalizia masalia.

Camrade Bashiru jana alikuwa centre ya mashariki akiangalia kitufe cha mtambo kama kimekaa sawa, siku mbili zijazo button nyingine itaponyezwa na mshindo mkuu Zaidi ya Tunduma unategemewa kusikika.

Sasa ni dhahiri kuwa mitambo ya ushindi sasa iko mkao wa kulipuka na madhara yake ni kwa Comrade, ndugu, John Pombe Joseph Magufuli(Ng’wanasusana) kuibuka na ushindi mnono wa 90-95%.

Maendeleo hayana chama ewe mwanachi hapo tarehe 28/10, piga kura yako kwa ndugu, John Pombe Joseph Magufuli
Unaandika kuhusu Tunduma ukiwa Tandahimba?
 
Kabla ya kuanza kampeni za uchaguzi Tanzania, Comrade Bashiru Ali a.k.a Mchuuzi wa ndizi aliwaonya wapinzani wao kwamba tayari alikuwa katika harakati za kisayansi ya siasa za kusimika MITAMBO ya ushindi wa kishindo. Inaonekana wapinzani wa ccm hawakumuelewa, sasa kwa kilichotokea Tunduma, Songwe na Mbeya wanapaswa kujua na kujitambua kwamba sasa MITAMBO inaanza kulipuka na kutakuwa na casualties wengi sana kisiasa.

Chadema centre zenu za huko Mbeya na songwe hasa kambi yenu kuu pale Tunduma tayari hali ni dhooofu, Tunduma inaelekea kuwa ya kijanI KIBICHI KABISA na hilo liko wazi . Comrade Simba (SILINDE) jana alipewa assignment ya kumalizia masalia.

Camrade Bashiru jana alikuwa centre ya mashariki akiangalia kitufe cha mtambo kama kimekaa sawa, siku mbili zijazo button nyingine itaponyezwa na mshindo mkuu Zaidi ya Tunduma unategemewa kusikika.

Sasa ni dhahiri kuwa mitambo ya ushindi sasa iko mkao wa kulipuka na madhara yake ni kwa Comrade, ndugu, John Pombe Joseph Magufuli(Ng’wanasusana) kuibuka na ushindi mnono wa 90-95%.

Maendeleo hayana chama ewe mwanachi hapo tarehe 28/10, piga kura yako kwa ndugu, John Pombe Joseph Magufuli
Acha uongo sisi watunduma ndo tunajua unakuja na thread yako ya ajabu, after mond kumaliza show watu tulianza kusambaa jiwe akapaniki ##TAL#2020-2025
 
Kabla ya kuanza kampeni za uchaguzi Tanzania, Comrade Bashiru Ali a.k.a Mchuuzi wa ndizi aliwaonya wapinzani wao kwamba tayari alikuwa katika harakati za kisayansi ya siasa za kusimika MITAMBO ya ushindi wa kishindo. Inaonekana wapinzani wa ccm hawakumuelewa, sasa kwa kilichotokea Tunduma, Songwe na Mbeya wanapaswa kujua na kujitambua kwamba sasa MITAMBO inaanza kulipuka na kutakuwa na casualties wengi sana kisiasa.

Chadema centre zenu za huko Mbeya na songwe hasa kambi yenu kuu pale Tunduma tayari hali ni dhooofu, Tunduma inaelekea kuwa ya kijanI KIBICHI KABISA na hilo liko wazi . Comrade Simba (SILINDE) jana alipewa assignment ya kumalizia masalia.

Camrade Bashiru jana alikuwa centre ya mashariki akiangalia kitufe cha mtambo kama kimekaa sawa, siku mbili zijazo button nyingine itaponyezwa na mshindo mkuu Zaidi ya Tunduma unategemewa kusikika.

Sasa ni dhahiri kuwa mitambo ya ushindi sasa iko mkao wa kulipuka na madhara yake ni kwa Comrade, ndugu, John Pombe Joseph Magufuli(Ng’wanasusana) kuibuka na ushindi mnono wa 90-95%.

Maendeleo hayana chama ewe mwanachi hapo tarehe 28/10, piga kura yako kwa ndugu, John Pombe Joseph Magufuli
Mpaka mtu anaomba kusuguliwa !!
 
Uliwahi ona wapi demu anatongozwa kwa kumfokea na kumtishia?mnatishatisha watu kila sehemu na kuwabagua nani atawapa kura?nyie endeleeni kusomba watu wa kujaza uwanja tu
 
Karibuni ZNZ kesho mushuhudie Moshi kama ule wa kule Kusini,
Lazima Jiwe apliwe kwa moshi wa Unguja wenye Harufu ya Popobawa.
Huyu Tunaye hadi Mwisho wake 28 October 2020 ili akapumzike kwa amani Chato (Rest in Peace and harmony).
Na mtalii arudi Mkulanga.
MnaziMmoja Njooni muone Muziki na wasanii Kisha Muone Moshi wa ZNZ.
 
Kabla ya kuanza kampeni za uchaguzi Tanzania, Comrade Bashiru Ali a.k.a Mchuuzi wa ndizi aliwaonya wapinzani wao kwamba tayari alikuwa katika harakati za kisayansi ya siasa za kusimika MITAMBO ya ushindi wa kishindo. Inaonekana wapinzani wa ccm hawakumuelewa, sasa kwa kilichotokea Tunduma, Songwe na Mbeya wanapaswa kujua na kujitambua kwamba sasa MITAMBO inaanza kulipuka na kutakuwa na casualties wengi sana kisiasa.

Chadema centre zenu za huko Mbeya na songwe hasa kambi yenu kuu pale Tunduma tayari hali ni dhooofu, Tunduma inaelekea kuwa ya kijanI KIBICHI KABISA na hilo liko wazi . Comrade Simba (SILINDE) jana alipewa assignment ya kumalizia masalia.

Camrade Bashiru jana alikuwa centre ya mashariki akiangalia kitufe cha mtambo kama kimekaa sawa, siku mbili zijazo button nyingine itaponyezwa na mshindo mkuu Zaidi ya Tunduma unategemewa kusikika.

Sasa ni dhahiri kuwa mitambo ya ushindi sasa iko mkao wa kulipuka na madhara yake ni kwa Comrade, ndugu, John Pombe Joseph Magufuli(Ng’wanasusana) kuibuka na ushindi mnono wa 90-95%.

Maendeleo hayana chama ewe mwanachi hapo tarehe 28/10, piga kura yako kwa ndugu, John Pombe Joseph Magufuli
Hivi wee mburula unafahamu maana ya kulipuka?
Maana yake hiyo mitambo imesambaratika na haiwezi kufanya kazi tena!
Kwisha habari yenu!
 
Back
Top Bottom