Mitandao inahifadhi kumbukumbu.

Mitandao inahifadhi kumbukumbu.

Wengine walidhani wana hati miliki ya daisy Llilies
Zamani hakuna simu mkiachana unasahau...siku hizi usipofuta.....

Ukianza kuangalia hadi unaanza kujionea aibu.
 
Na facebook waongo kweli wanakuletea kumbukumbu ya miak 10 iliyo pita upo na mtto mkali
 
Back
Top Bottom