Cannabis
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 11,557
- 33,535
Madaraka ya kulevya😁Nape amelewa madaraka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Madaraka ya kulevya😁Nape amelewa madaraka
Nape kajisahau kasema ukweli tu.Tukumbuke tu kwamba kumekuwa na malalamiko mengi ya wateja wa mitandao ya simu, kuktwa salio pasipo kujiunga na huduma yoyote ile. Hivyo basi kwa kauli hii ya waziri, haina budi wahusika watoe ufafanuzi.
View attachment 3044227
Je, ni maelekezo kutoka juu?
- Malalamiko yangu kwa mitandao ya simu, hasa Halotel na Voda!
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Nape Nnauye: Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza, ili mradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe!
Nape ana kampuni tano za simu ndio maana ma bando yako Bei juu. Ndio maana Kuna wawekezaji waliotaka kuja kuwekeza ili Bei ya bando ipungue lkn kampuni za nape zimekataa.Nape hana kampuni yoyote ya simu
Ni mtama sio Busokelo.Huyu mwana busokelo kazingua fijo.
Siku Ile alipokuea akiwahutubia watu wa Kagera, alikuwa amelewa pombe bwiiiiii😀Nape amelewa madaraka
Kiongozi unatoa hotuba ukiwa umelewa? CCM hili jipu Nape litawakost, mnayo ongea chumbani Nape atayaweka hadharani maana haja fundwa.Siku Ile alipokuea akiwahutubia watu wa Kagera, alikuwa amelewa pombe bwiiiiii😀
Wahoji halafu watekwe?NAPE mropokaji na wana Kagera wamekosea kwa kushangilia bila kuhoji
Unafikiri ni sawa kujenga soko Kashai kwa Hisani ya Nape,Byabato,mitandao ya simu ilhali Wananchi wanalipa kodi?Kitu gani hakijaeleweka. Mitandao ya simu ni washika dau. Hivo allimaanisha hashindwi kuongea nao, wakamsaidia kupata milioni 300, na si hao. Alimnyooshea kidole hata mwananchi kwamba yeye katika eneo lake, haawezi kosa watu kadhaa wakasaidiana.
Yaani mtaani watu wanafanya harusi za milioni 300, ishindikane uwe karibu na watu wa mtandao, na wanafunga kila siku manguzo kuchangisha 300ml.
Unataka maelezo gani mengine hapo ndugu
OkayTukumbuke tu kwamba kumekuwa na malalamiko mengi ya wateja wa mitandao ya simu, kuktwa salio pasipo kujiunga na huduma yoyote ile. Hivyo basi kwa kauli hii ya waziri, haina budi wahusika watoe ufafanuzi.
View attachment 3044227
Je, ni maelekezo kutoka juu?
- Malalamiko yangu kwa mitandao ya simu, hasa Halotel na Voda!
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Nape Nnauye: Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza, ili mradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe!