Pre GE2025 Mitandao ya simu inapaswa kutoa ufafanuzi hii kauli ya Nape haitakiwi kupuuzwa hata kidogo

Pre GE2025 Mitandao ya simu inapaswa kutoa ufafanuzi hii kauli ya Nape haitakiwi kupuuzwa hata kidogo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wengi siyo waadilifu,wanatoa maagizo tata kwa taasisi zilizo chini ya wizara zao.Ni hongo
 
Nape hana kampuni yoyote ya simu
 
Tukumbuke tu kwamba kumekuwa na malalamiko mengi ya wateja wa mitandao ya simu, kuktwa salio pasipo kujiunga na huduma yoyote ile. Hivyo basi kwa kauli hii ya waziri, haina budi wahusika watoe ufafanuzi.
View attachment 3044227
Je, ni maelekezo kutoka juu?

- Malalamiko yangu kwa mitandao ya simu, hasa Halotel na Voda!

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Nape Nnauye: Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza, ili mradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe!
Nape kajisahau kasema ukweli tu.

Hiki si suala la mitandao ya simu, makampuni makubwa yote, ya umma na ya binafsi, yanachangia CCM nje ya mfumo wowote maalum.

Ukiongea na ma CEO in confidence wanasema.

Na hili wala si la Nape, lipo tangu kipindi kirefu sana.
 
Nape hana kampuni yoyote ya simu
Nape ana kampuni tano za simu ndio maana ma bando yako Bei juu. Ndio maana Kuna wawekezaji waliotaka kuja kuwekeza ili Bei ya bando ipungue lkn kampuni za nape zimekataa.
 
Siku Ile alipokuea akiwahutubia watu wa Kagera, alikuwa amelewa pombe bwiiiiii😀
Kiongozi unatoa hotuba ukiwa umelewa? CCM hili jipu Nape litawakost, mnayo ongea chumbani Nape atayaweka hadharani maana haja fundwa.
 
Waziri mkuu mstafu wa UK Tony aliwahi sema hivi "shinda kubwa ya viongozi wa Afrika ni kuwaza zaidi uchaguzi badala ya kutatua changamoto za wananchi"

Kule SA, Makaburu waliwaengue watu weusi kwenye mipango na sera za maendeleo sababu wange haribu nani ukweli wetu weusi tumeshindwa kujisimamia.
 
Kitu gani hakijaeleweka. Mitandao ya simu ni washika dau. Hivo allimaanisha hashindwi kuongea nao, wakamsaidia kupata milioni 300, na si hao. Alimnyooshea kidole hata mwananchi kwamba yeye katika eneo lake, haawezi kosa watu kadhaa wakasaidiana.
Yaani mtaani watu wanafanya harusi za milioni 300, ishindikane uwe karibu na watu wa mtandao, na wanafunga kila siku manguzo kuchangisha 300ml.
Unataka maelezo gani mengine hapo ndugu
Unafikiri ni sawa kujenga soko Kashai kwa Hisani ya Nape,Byabato,mitandao ya simu ilhali Wananchi wanalipa kodi?
Soko gani hilo la milioni 300 after 63 years of Independence kwa Wana Kashai?
 
Tukumbuke tu kwamba kumekuwa na malalamiko mengi ya wateja wa mitandao ya simu, kuktwa salio pasipo kujiunga na huduma yoyote ile. Hivyo basi kwa kauli hii ya waziri, haina budi wahusika watoe ufafanuzi.
View attachment 3044227
Je, ni maelekezo kutoka juu?

- Malalamiko yangu kwa mitandao ya simu, hasa Halotel na Voda!

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Nape Nnauye: Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza, ili mradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe!
Okay
 
Back
Top Bottom