Mitandao ya simu inayotoa huduma za kifedha kupandisha kiholela gharama za kutuma na kutoa pesa

Mitandao ya simu inayotoa huduma za kifedha kupandisha kiholela gharama za kutuma na kutoa pesa

AbuuMaryam

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2015
Posts
2,577
Reaction score
4,637
Si jingine ni hili la mitandao ya simu inayotoa huduma za kifedha kupandisha kiholela gharama za kutuma na kutoa pesa.

Tumefika huku jamaniiii. Zamani ilikuwa unaweza kutoa kwenye 5000 ukapata 4500. Siku hizi ni BUKU MZEE WANAKATA BUKU KABISA.

WAMEPANDISHA MARA MBILI.

Au mnaonaje wadau tukalipazia sauti wadau.
 
Si jingine ni hili la mitandao ya simu inayotoa huduma za kifedha kupandisha kiholela gharama za kutuma na kutoa pesa...

Tumefika huku jamaniiii... Zamani ilikuwa unaweza kutoa kwenye 5000 ukapata 4500...siku hizi ni BUKU MZEE WANAKATA BUKU KABISA. ..

WAMEPANDISHA MARA MBILI. ..

Au mnaonaje wadau tukalipazia sauti wadau. ..
Kwani matumizi ya pesa yamepungua au kuongezeka? Au nikuulize kivingine, Hiyo pesa imepanda thamani au imeshuka thamani?
Mkate hiyo ZAMANI yako ulikuwa unanunua shilingi ngapi, na LEO unaununua huo mkate shilingi ngapi? kama bei imepanda nao lazima wapandishe, watabaki kule kwa zamani mpaka lini?
 
Nyinyi thed weld dwellers mnapenda kulialia tu. Mnakera bana dawa ni kucommit suicide hamna namna ni kitendo cha kishujaa haizidi dakika tano hutaona tena shida milele. Kuna haja gani ya kuokomaa kuishi kwa shida na maonevu.

Au mnaonaje wadau ushauri wangu?
 
Back
Top Bottom