Mitandao ya simu: Nini maana ya promosheni ya laini ya chuo kama mnaunga watu hata wasio wanachuo?

Mitandao ya simu: Nini maana ya promosheni ya laini ya chuo kama mnaunga watu hata wasio wanachuo?

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Kuna promosheni pendwa sana maalufu " laini ya chuo"

Hii ni simcard iliyokuwa na lengo la kumrahisishia mwana chuo kupata mawasiliano akiwa chuoni kwa bei nafuu!

Huduma hiyo mwanzo ilihitaji kitambulisho cha chuo ili kuunganishwa kutoka mitandao yote!
Sasa hivi kila mtu hata tusiokuwa wanachuo mnatuunganisha bila kubagua (Tunashukuru sana)

Swali; Kama sasa mnaunganisha watu wote; hamuoni kwamba mnatakiwa mtafte jina jingine ili niendane na uhalisia wa promotion?

Au ndiyo mnatuaminisha kuwa mnajua Kucopy na Kupaste?
 
Acha uchonganishi unaona tunafaidi sana
 
Hapo sawa ndugu

Ungerekebisha tittle ya uzi wako mkuuu,Iwe ushauri na sio kuleta nongwa kwa wafaidikao na Bundles izo za UN.
KAMA nasema uongo najivua nguo!...in lugola voice
 
Mbona kuna kelele humu jamaa amekuja kuamsha vilivyolala..😂
 
Back
Top Bottom