?????Airtel walishaondoa hilo. Wauzaji ndo wanawapiga wanunuzi.
?????
Tulia wew marketing officer nini...Waboreshe jina! Ili lifiti kwa wote! Wala siyo kuharibu! Marketing officer wana prove failure
Si wangesema tu kuwa NI LAINI YA OFAItoshe kusema wanapotangaza line ya chuo, n lugha ya kibiashara. Wapo wasioelewa kuwa line zote ofa sawa
Wangeita OFA simkadTulia wew marketing officer nini...
MmhhLaini ya chuo haijawahi kusajiliwa bila kitambulisho cha chuo.Hizo zinazo toleqa mtaani zinakua na ofa inayo dumu si zaidi ya miezi mi tatu
Mm yangu natumia huu ni mwaka Wa tank natumiaLaini ya chuo haijawahi kusajiliwa bila kitambulisho cha chuo.Hizo zinazo toleqa mtaani zinakua na ofa inayo dumu si zaidi ya miezi mi tatu
WamelegezaVoda wao bado wamekaza
Wamelegeza
Kubenda kitonga nako ni ushirikina toshaUkizeeka hakika utakuwa mchawi