Mitandaoni: Manara ni mkubwa kuliko Simba

Hahahaha sasa kumbe unajua kuwa hizi followers zinaletwa na show off ,
Kwahiyo manara ni mkubwa wa show off za mitandaoni....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Huna akili.

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Yaaah kawapita wapenda sifa wenzake... Makolo
 
HUJAELEWA SWALI.

KWA UFUPI USIPAMBANISHE UKUBWA JIWE LA BARAFU LILILOTENGENEZWA KIPINDI CHA BARIDI KALI NA JABALI, KIANGAZI KITAKAPOFIKA JABALI LITAENDELEA KUWEPO.
Jiwe la barafu Ni lipi hapo
 
Reactions: Tsh
Mkuu MAKOLO wanaleta hoja wakiwa na uchungu mwingi
 
Salaam Wana JF
Naona wengine wanasherekea ubingwa .....wengine Wana msherekea SOAP ndio magepu haya...
Simba ni Club ya tano kwa kuwa na wafuasi wengi mitandaoni Barani Africa ikizidiwa na Al Ahly, Zamalek, Kaizer Chiefs na Wydad Casablanca tu.

Huyo mbuzi wenu wa kafara ni mkubwa kuliko Yanga ila siyo Simba.

Simba ndiyo club inayoongoza kuingiza mashabiki wengi kwenye michuano ya CAF kuliko Club yoyote huyo mbuzi wenu wa kafara awatambie huko huko dimbwini.
 
Haji sio tu kuwa ni mkubwa kuliko Simba bali pia ana upepo balaa! kahama Kolo FC na makombe yote kahamisha kabati lao limebaki tupu!!

alichowaachia msimbazi ni vurugu, ukata , kutukana Yanga fans matusi mazito, kugombana na kufukuzana!!
 
Haji sio tu kuwa ni mkubwa kuliko Simba bali pia ana upepo balaa! kahama Kolo FC na makombe yote kahamisha kabati lao limebaki tupu!!

alichowaachia msimbazi ni vurugu, ukata , kutukana Yanga fans matusi mazito, kugombana na kufukuzana!!
Bila kusahau ongezeko la vichaa huko utopoloni.
 
Yanga ndio waliyowafanya muingize mapato mengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…