Mitandaoni: Manara ni mkubwa kuliko Simba

Haji sio tu kuwa ni mkubwa kuliko Simba bali pia ana upepo balaa! kahama Kolo FC na makombe yote kahamisha kabati lao limebaki tupu!!

alichowaachia msimbazi ni vurugu, ukata , kutukana Yanga fans matusi mazito, kugombana na kufukuzana!!
Makolo hawataki kuusikia huu ukweli
 
manara miaka 30/40 ijayo anaweza asijue maana ya neno Yanga achilia mbali kutamka neno simba bila meno...
Kwa usajili wanao ufanya Simba......unadhani wata sustain....Hadi miaka ijayo?
 
Kwa usajili wanao ufanya Simba......unadhani wata sustain....Hadi miaka ijayo?
Simba hata isiposajili ikabaki inakuza watoto itaendelea kuwepo kwa miaka mingi.......
 
Yanga imezaliwa 35 na imepitwa followers na Manara na SIMBA hii tuiite KUBWAJINGA FC
 
Lete na Yanga tuone amemzidi ngapi Manara
 
Basi na hela awe nazo kubwa kuliko simba. Aisee kweli utopolo ni utopolo tu. Ukubwa unapimwa kwa followers..? 🤣🤣🤣🤣
 
Hesabu za ndogo kuliko na kubwa kuliko zilikushinda.. leo unajifanya kufanya comparison! Mwehu kweli wew
 
Ananunua follwers
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…