Mitano tena!

moniccca

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2015
Posts
2,383
Reaction score
3,285
Haya mitano tena mmeiona? Hakuna hata mia ya kuhonga! Wanaume wanazidisha ubahiri wengine hata familia wamezitelekeza. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mitano tena....

Mjiandae kisaikolojia hii ndo itakuwa style ya maisha ya kudumu maana tunamkaribia Kagame na Museven[emoji23][emoji23]

Hii sasa siyo mitano tena ... Ni yeye tena na tena[emoji23][emoji23]

Kama mwana mama umetelekezwa usibwete jamaa hatarudi tena.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mnataka haki sawa mmetusumbua sana, sasa tumekubaliana tunawapa haki sawa hakuna kuhonga
 
Kwa nini uhonge??? ha ha haaaa iwe kumi tano sasa
 
Ndo ukweli wenyewe ni mitano tena, ila hap kwenye ubahili tuvumilianeni tu mamb yakikaa sawa hatutokua wabahili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…