Mnataka haki sawa mmetusumbua sana, sasa tumekubaliana tunawapa haki sawa hakuna kuhongaHaya mitano tena mmeiona? Hakuna hata mia ya kuhonga! Wanaume wanazidisha ubahiri wengine hata familia wamezitelekeza. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mitano tena....
Mjiandae kisaikolojia hii ndo itakuwa style ya maisha ya kudumu maana tunamkaribia Kagame na Museven[emoji23][emoji23]
Hii sasa siyo mitano tena ... Ni yeye tena na tena[emoji23][emoji23]
Kama mwana mama umetelekezwa usibwete jamaa hatarudi tena.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndo ukweli wenyewe ni mitano tena, ila hap kwenye ubahili tuvumilianeni tu mamb yakikaa sawa hatutokua wabahili.Haya mitano tena mmeiona? Hakuna hata mia ya kuhonga! Wanaume wanazidisha ubahiri wengine hata familia wamezitelekeza. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mitano tena....
Mjiandae kisaikolojia hii ndo itakuwa style ya maisha ya kudumu maana tunamkaribia Kagame na Museven[emoji23][emoji23]
Hii sasa siyo mitano tena ... Ni yeye tena na tena[emoji23][emoji23]
Kama mwana mama umetelekezwa usibwete jamaa hatarudi tena.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]